Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
Hatari sana,wamuombe msamaha mapema kabla mambo hayajaharibika zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😂😂😂😂😂 acha izo mrudi wapi mkiwa na nguvu?😂😂😂😂
Mkuu wewe ndio wa mwisho kulitambua hili mjini hapa🤣🤣
Kaka niache kwanzaMkuu wewe ndio wa mwisho kulitambua hili mjini hapa🤣🤣
Mimi sijawahi kuwa kaka wa wana uto😅😅🤔Kaka niache kwanza siwaView attachment 3162386
😭Mimi sijawahi kuwa kaka wa wana uto😅😅🤔
Na ndo walikuwa wanaitaka mamelod nyoko hawa😂😂😂😂
Kasongo yelelee mobali nangai kasongo mbona wewooo....mbona wewooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Unaifungajeee huu wimbo, umetiwa nuksi na mzee wa fitna Manara. Umegeuka ndivyo sivyo. Hatumtaki Yanga, arudi alikotoka shwain zake.
🤣🤣🤣 bridge ya hii ngoma iko pale kwenye "..mbona wewooo..."Kasongo yelelee mobali nangai kasongo mbona wewooo....mbona wewooo😂
vyovyote tu!Kwamba mimi ndio mzimu mkuu ?😂
Ukiumwa maleria sindano,uti sindano,kifua sindano,maumivu sindano sasa inakuwaje wewe uone sindano jambo la ajabu,au wewe ni miongoni mwa mliokesha msimbazi baada ya ushindi wa singida na mlivojazana pale huenda ndio sababu za maafa yaliyofiatia.siyo ile ya sindano
Miyeyusho huyo Leo ngoja siku akifungwa atakimbia humu 😀vyovyote tu!
Ule moto waliokuwa nao kipindi cha 2 umekwishaaSure Masta. Kwa jicho la mbali hilo linaonekana kabisa. Muda utazidi kusema