FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

FT: Young Africans SC 3 - 0 Medeama FC | CAFCL | Benjamin Mkapa Stadium | 20.12.2023

Ngoja kwanza, hii mechi hakuna kuingia bila jezi ya Yanga, kwahiyo utavaa?

Yani katika vitu vya kipuuzi mtu akisema namdharau ni suala la jua sijui Waarabu hawawezi kucheza vizuri!

Like WTF? Mnafikiri hawalijui hilo? Hawafanyi mazoezi wakati wa jua kali?
Kwamba kwao hamna jua ndio wanakuja kulionea hapa?

Kwa takwimu za Wydad kwa sasa wameporomoka, sio ajabu kufungika.
Pamoja na hayo, Mazingira ni factor kubwa sana katika mchezo wa Mpira.

Kule Kaskazini ni msimu wa baridi,huku kwetu ni msimu wa Joto, hata kama wanamazoezi lazima wapate hiyo challenge.

Hata Beluzidad wangenguja msimu huu kwa Mkapa saa kumi jioni, ingekuwa advantage kwa Yanga.

Ziwezi kuvaa jezi ya Yanga, na hakuna atakayenizuia as long nimelipia.

Labda wa Mzunguko(Bure)ndio lazima wavae Jezi.

Mimi kuna Angle ya V.I.P C huwa naipenda sana! inanipa clear vision.
 
Nakuomba mungu yanga wafungwe nyingi.... Wakifungwa nyingi itakua vizuri sana eee bwana mungu..
 
Wao yanga utasikia tukimfunga medeama tunakua na point 5 then al ahly tutamfunga kule kwake tutafikisha points 8..... Halaf tena wale wa algeria kwa mkapa hawatoki hapo tutakua tunaongoza kundi na points 11. Yanga wao ni km uumbaji wa mungu yaani wakisema inakua hivyo...
😂😂😂 Sio mbaya kufanya imagination!
Sema nyingi huwa ni wrong kwa upande wa Uto...
 
Ngoja kwanza, hii mechi hakuna kuingia bila jezi ya Yanga, kwahiyo utavaa?

Yani katika vitu vya kipuuzi mtu akisema namdharau ni suala la jua sijui Waarabu hawawezi kucheza vizuri!

Like WTF? Mnafikiri hawalijui hilo? Hawafanyi mazoezi wakati wa jua kali?
Kwamba kwao hamna jua ndio wanakuja kulionea hapa?

Kwa takwimu za Wydad kwa sasa wameporomoka, sio ajabu kufungika.
Hilo analosema la jua ni kweli kabisa. Jana tungewachezesha Wydad saa 9 ila washukuru CAF walikaza. Hata wale CRB walitepeta kule kwa Medeama kwa sababu ya jua, linawasumbua sana kwa kweli.
 
Nakuomba mungu yanga wafungwe nyingi.... Wakifungwa nyingi itakua vizuri sana eee bwana mungu..
Naiboresha hii sala yako.
Popote ulipoweka m ndogo na iwe kubwa na b ndogo iwe kubwa.
yaani "Mungu na Bwana."

Amen!
 
Hilo analosema la jua ni kweli kabisa. Jana tungewachezesha Wydad saa 9 ila washukuru CAF walikaza. Hata wale CRB walitepeta kule kwa Medeama kwa sababu ya jua, linawasumbua sana kwa kweli.
Sahihi.
 
[emoji23][emoji23] nashauri msije wengi!!
Yanga kwa Mkapa huwa hawashindi mashabiki wakiwa wengi.

Medeama ni black race pia, Saa kumi kwao hakuna challenge yoyote.

Jana Waarabu tuliwahenyesha, muda pia ulichangia ujue.
Wanacheza saa 1 usiku.
 
Naona ndugu zetu wa upande wa pili mmekuja kutuimbia taarabu hapa baadae mje Tena 🤣 kuimba izo taarabu zenu naona mmejaa hapa kutuombea mabaya baadae mje msipo kuja risiti zenu zipo nyie endeleeeni kuimba baadae mtapakimbia hapa
 
Back
Top Bottom