XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Mlipigwa 5 bila hamkupigwa ?Mwaka gani? Kikosi kilicho cheza mwaka huo ndio hiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlipigwa 5 bila hamkupigwa ?Mwaka gani? Kikosi kilicho cheza mwaka huo ndio hiki.
Tutawarudisha kwenye mstari...Yaan zinauma mpaka leo hamzisahau
Jaman sahauni ya November 5
Akikujibu nampa 10kMlipigwa 5 bila hamkupigwa ?
Nilipigwa nilicho washangaa kusema nimewaokota,wakati hawa wamejitahidi wamekula tano,wakati nyie mlikula tano au mmesahau......Mlipigwa 5 bila hamkupigwa ?
Nimetulia hapa mtani naenjoyyyy ushindi wa jana...Kaa kitako mama...😜😜
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akukome kabisa huyo nguruwwee por
Kama hujawahi kula 5 za mnyama ndo useme...acheni ulimbukeni..mshafungwa sana tena 6 kwa 0...4 kwa 0 ndo usiseme..Nilipigwa nilicho washangaa kusema nimewaokota,wakati hawa wamejitahidi wamekula tano,wakati nyie mlikula tano au mmesahau......
Kitoto kimeota meno leo...Hatimaye baaada ya Miongo 8 na Miaka 8 Ndio Utopolo anapata ushindi wa kwanza. Halafu kuna kenge fulani wanaanza kuita Mnyama Mwakalobo
Wee umevurugwa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makolo wapumbavu sana
Tumeuona umbumbumbu wako hilo hakuna shaka.Hii comment yangu ilikuwa dakika ya pili ya Mchezo.
Nina uhakika kila mtu kaona.
Na kocha mkamuondoa kesho yake..... tukubaliane tu hawa jamaa wamejitahidi kuliko nyie na wamecheza bila mashabiki leo,wamekula tatu wakati nyinyi juzi mlikula tano.Kama hujawahi kula 5 za mnyama ndo useme...acheni ulimbukeni..mshafungwa sana tena 6 kwa 0...4 kwa 0 ndo usiseme..
👇🏾😄Kwahyo Uto leo kajipigia Kibonde anajisifu kweli...
Dah leo kweli Mgumba kapata mimba Nyumba imejaa mate sasa suburini Faini ya kuwanyima uwanja medeama
Naona kauli ya vibonde imeanza kwa nguvu sana asee, 😃😂.
Si unajua vinavyopenda kuhaha vitaharisha wiki nzima..Yani kitaharisha Wiki nzima [emoji2][emoji2]