Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Jamani sisy akeee nimependa hapo mwishoni
Hapo kwenye... cc
Shem ake hana mambo mengi atakuja aseme " mambo yao waachie wenyewe" 😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani sisy akeee nimependa hapo mwishoni
Uchawi wenu wa MajiNa wewe ungeloga kaka
Nimekuta nacheka kwa nguvu.
Hali ilikuwa mbaya kwa hiyo tunajificha kidogo. Ila leo tumeshinda vyura tutalia usiku mzima. Leo hamtalala...🐸🐸🐸5 za kunyunyuzia ulozi...
Umepotea mtani..
kesho waamke na mabango kabisa 😂Hali ilikuwa mbaya kwa hiyo tunajificha kidogo. Ila leo tumeshinda vyura tutalia usiku mzima. Leo hamtalala...🐸🐸🐸
Hongera sana mremboHaya, Wanachi wenye nchi yetu ndio tunaingia sasa kutokea uwanjani.
Hivi kuna mtu bado anabisha kuwa Pacome ndio usajili bora zaidi kwa msimu wa 2023/24 Tanzania?
Hongereni Wananchi wenzangu na watani zetu wenye akili timamu waliotutakia ushindi kiroho safi.
B… Thanks, tokea jana, leo umesisitiza kututakia kheri & ushindi. Bless
Mdakuzi
Hongera sana Mkuu.Hongera sana mrembo
Mabango tutaweka tukiingia robo fainali...kesho waamke na mabango kabisa 😂
Huu ushindi wa leo ni baada ya miaka 25, kuna kazi kubwa ya kufanya
mabango fcMabango tutaweka tukiingia robo fainali...
Tusipangiane namna ya kufurahia mkuu 😂😂mabango fc
EeeYaani acha kabisa!
Ila sasa we nawe! Yaani hongera ya hivi hivi tu wajameni
Kwakweli mtani wangu churaaa....ila leo kelele hazina madhara...kwa sbb jana tulikesha leo tuna hangover...Hali ilikuwa mbaya kwa hiyo tunajificha kidogo. Ila leo tumeshinda vyura tutalia usiku mzima. Leo hamtalala...🐸🐸🐸
Wacha tu tufurahie maana kama tungefungwa huu mji ungekuwa mchungu sana kwa kweli...Kwakweli mtani wangu churaaa....ila leo kelele hazina madhara...kwa sbb jana tulikesha leo tuna hangover...
Sanaaa mtani...wacha tuone ya mbeleniWacha tu tufurahie maana kama tungefungwa huu mji ungekuwa mchungu sana kwa kweli...