Mkuu ulikula kweli mchana? Mbona ulikuwa na hasira kiasi hiki?Unashindwa kufuatilia mambo ya nchi yako unakwenda kufuatilia safari ya Pelosi? Afu utafaidika nini? Hivi Wa-Tz mmelogwa na nani? Huu nao ni uzi wa kupandisha humu?
Mende ni wa ajabu sana mkuu
betina wa USA amumuwez
Motivational speaker ni wale waliokua wanapiga mikwara leo wameingia mitini π€£π€£π€£Motivational speakers bana,mna vimaneno.
Afu ana hakikisha majiran au ndugu ndio mpasuane vizuri..[emoji16]Mrusi kashatafutiwa furushi lake Ukraine anateseka nalo.
Mchina nae anatafutiwa la kwake ateseke nalo asiwe na muda wa kujijenga
Vita vya siku hizi unapigwa kinyume nyume [emoji23]
Marekani anataka hawa jamaa wawili china na Russia wakose muda wa kujijenga kiuchumi wawe bize kupambana na vinchi vidogo alafu yeye anaingia kwa nyuma kuvisupport kiteknologia na kijeshi,mpk waje kushtuka washakua nchi za kawaida wamefulia [emoji38][emoji38]
Tunaposimuliwa na mababu zetu waliotangulia maana ya super power ndio hii sasa leo tunashuhudia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Huezi kua superpower ukakaa kizembe,marekani anaendesha operation kibao duniani,jana kiongozi wa alqaeda wamemtumgua huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi tuendelee kulima sana [emoji1787] [emoji38] Philosophy ya hapa kazi tu,tungeteseka ila baadae tungekua na sisi ni ka super power EastAfrica [emoji23][emoji1787]
Watu walihenya wakajipanga kitambo [emoji95]
Kama dunia yenyewe ya kufa hii potelea mbali na mimi nimeunga hoja[emoji1][emoji1] Na iwe hivyo mkuu.
Huyo bibi yako hawezi leta vita watu wakafa kwa ajili ya mtu ambae possibility ya kuishi miaka 5 hana kwa 30%duh na akili zako zoooote uliamini china wana ubavu wa kumzuia Nancy? pole yako ndo ujue nini maana ya US kuitwa super power vitendo vinaongea na sio maneno
bado hujachelewa anza sasa kuwadharau wachina a.ka china mandonga
Mchina ni super power tu kwa nchi kama zetuKeshatua na mchina kaufyata.
USA ni super power jama, sijui wanomzodoa wana maana gani. USA kwenye ishu inayowagusa moja kwa moja huonesha ubabe wake.
China tatizo lao janja janja nyingi sana, ni super power wa uswahilini.
Ukiskia akina Mandonga basi ni hao wachina.
Mchina alimwambia USA kadandia mtumbwi wa vibwengo ona sasa hivi kaufyata.
Naona mnduku unakuwasha.Sawa bibie ..bila shaka wewe ni antie wa pelos
Hata mimi ndilo swali nalojiuliza, kama hayana kazi kwanini wayatengeneze? Ni danganya toto kabisa.Yaani makubaliano ya kipumbavu sana waliotiliana mkataba
Makombora yasitumike kwa vita
Hilo ndo sharti lao ila hakuna mahali wamesema wasitengeneze
Sasa kama wanakataa yasitumike kwanini wanakubali yatengenezwe na baadhi ya nchi tu
Na walipuane tu
Hakuna wabaya kwanza kama USA maana walishauwa wengi Nagoya na Nagasaki
Halafu wao ndio wanajifanya watetezi wa haki bullshit [emoji19]
Daahh wame nikera sana [emoji22]Hahahahhahahahaa tulia mkuu
Mrusi kashatafutiwa furushi lake Ukraine anateseka nalo.
Mchina nae anatafutiwa la kwake ateseke nalo asiwe na muda wa kujijenga
Vita vya siku hizi unapigwa kinyume nyume [emoji23]
Marekani anataka hawa jamaa wawili china na Russia wakose muda wa kujijenga kiuchumi wawe bize kupambana na vinchi vidogo alafu yeye anaingia kwa nyuma kuvisupport kiteknologia na kijeshi,mpk waje kushtuka washakua nchi za kawaida wamefulia [emoji38][emoji38]
Tunaposimuliwa na mababu zetu waliotangulia maana ya super power ndio hii sasa leo tunashuhudia [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Huezi kua superpower ukakaa kizembe,marekani anaendesha operation kibao duniani,jana kiongozi wa alqaeda wamemtumgua huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi tuendelee kulima sana [emoji1787] [emoji38] Philosophy ya hapa kazi tu,tungeteseka ila baadae tungekua na sisi ni ka super power EastAfrica [emoji23][emoji1787]
Watu walihenya wakajipanga kitambo [emoji95]
Story za vijiweni hizo ππTim [emoji304] huwa mnachekesha sana.
Kama ulikua hujui west ndo wameingia kwenye Trap kule Ukraine wameanza kupotea taratibu fuatilia wakati mgogoro unaanz na sasa utaona hata utumaji wa silaha unapungua kadri siku zinavyozid kwenda kujitoa mazima itabaki kuwa AIBU kwao.
Russia sio China asee
Acha tu. Teknolojia je? Tutaweza kulipia ya mmarekani na UK? Vipuli tutaweza nunua OG from Japan? Hapo ndipo TOYOTA nazo utasikia hizi gari hazinaga spare.Kariakoo tutakuja kununua kadet 1 kwa tsh 100,000 hizi simu ndio zisingeshikika
Yes njoo nkuzamishie lobo ngula fure neneNaona mnduku unakuwasha.
Mkishindwa mnaanza kutukana watu[emoji16]
Akili zilikosea pa kwenda zikaenda makalioni[emoji3]
Onyo la Nini Sasa wafanye action, yaani mtu mliyekuwa hamtaki aingie Taiwan ameshaingia then still wanatoa onyoNdege vita za taiwan zashambulia kuelekea upande wa China kama Onyo