Uzuri hao ni wa vitu feki hivyo US hatishiki nao hata lazima wafanye hivyo kuwapa moyo wachina sa we ulitegemea wafanyeje?China wamewasha ving'ora vya jeshi sasa hivi.
Wababe wanataka kukianzisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri hao ni wa vitu feki hivyo US hatishiki nao hata lazima wafanye hivyo kuwapa moyo wachina sa we ulitegemea wafanyeje?China wamewasha ving'ora vya jeshi sasa hivi.
Wababe wanataka kukianzisha.
Nyani mzee huyo kakwepa mishale mingi 🤓🤓USA wamebarikiwa sana sio kawaida. Huwezi kuwa top wa Dunia kwa muda mrefu kiasi hiki huku kila leo unapigana vita visivyoisha. Jamaa wamepigana vita vingi mno yaani maisha yao kila siku ni vita na wenyewe wanajua.
Wamejipambanua wenyewe wanajiita mambo yao 'This is America' nawakubali sana hawataki unyonge
Mbona nimetoka kapa didi🤣🤣🤣
Hii ni aibu ya karneDaaah,yaani Yale ma Donfeng ni midoli tu,[emoji38][emoji38] mchina ni mchina tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo ulomuweka avatar ni baba yako kwaniUnashindwa kufuatilia mambo ya nchi yako unakwenda kufuatilia safari ya Pelosi? Afu utafaidika nini? Hivi Wa-Tz mmelogwa na nani? Huu nao ni uzi wa kupandisha humu?
Speaker of US she already landed in Taiwan 🇹🇼 now,hakuna cha f...from China dictatorsKwa hio watanzania wasingeshangilia Vita ndio isingepiganwa sio?
Ukiwa na mifumo thabiti inazaa mihimili thabiti and hence wakuu wa mihimili thabiti, huyu bibie alichana chana hotuba ya Trump mbele ya media na Trump akiwa bado ndani ya ukumbi wa bunge na hamna kitu Mr. President alifanya.Sema kabibi kana roho ngumu kale
Hahahaha eti hawaamini kama kapanda ile ndege, hivi watu wanamchukuliaje US? Yaani wampandishe ndege nyingine ili ionekane kuwa wamemuogopa Mchina?Ni yeye mkuu,ipo live aljaezera
US ni moto mwingine hapa duniani. CIA ni mziki mwingine kabisaaaa.
Ngoja tuone[emoji16]Haya ni kawaida, kikubwa tuone mkwara wa China kama utafanya kazi.
Safely landed in TaiwanHawa mafala Wana mikwala Sana mbona huyu mama ametua muda huu Taiwan View attachment 2312154View attachment 2312154
Kama kukaa kimya ni busara, ni afadhali wasingeanza kwa kupiga makelele na vitisho. Mambo ya watu wa Taiwan kumwalika Pelosi yanawahusu nini wachina kama siyo tabia ya kikomunist ya kutaka kumiliki watu wote. Mwaka 2001 Rais wa china na ujumbe wake ulikwenda kumtembelea Bill Gates huko nyumbani kwake Seattle, mbona serikali ya Marekani haikulazimisha kuwa ujumbe huo lazima uende Washington DCSema china akikaa kimya pia itaashiria ana busara, vita vinahitaji mipango
Ohoooo, wanashambulia dhidi ya nani tena?Ndege vita za taiwan zashambulia kuelekea upande wa China kama Onyo
Hahahahaha nimecheka sana ile damu ya Marekani haswaSema kabibi kana roho ngumu kale
Sema umri unachangia,Sema kabibi kana roho ngumu kale