Fuatilia hapa LIVE route - radar ya ndege SPAR19 iliyombeba Speaker Nancy akielekea Taiwan

Fuatilia hapa LIVE route - radar ya ndege SPAR19 iliyombeba Speaker Nancy akielekea Taiwan

USA wamebarikiwa sana sio kawaida. Huwezi kuwa top wa Dunia kwa muda mrefu kiasi hiki huku kila leo unapigana vita visivyoisha. Jamaa wamepigana vita vingi mno yaani maisha yao kila siku ni vita na wenyewe wanajua.

Wamejipambanua wenyewe wanajiita mambo yao 'This is America' nawakubali sana hawataki unyonge
Nyani mzee huyo kakwepa mishale mingi 🤓🤓
 
Unashindwa kufuatilia mambo ya nchi yako unakwenda kufuatilia safari ya Pelosi? Afu utafaidika nini? Hivi Wa-Tz mmelogwa na nani? Huu nao ni uzi wa kupandisha humu?
Huyo ulomuweka avatar ni baba yako kwani

Ni lini utakuwa na akili
 
Hawa mafala Wana mikwala Sana mbona huyu mama ametua muda huu Taiwan
IMG_20220802_175411.jpg
IMG_20220802_175411.jpg
 
Sema china akikaa kimya pia itaashiria ana busara, vita vinahitaji mipango
Kama kukaa kimya ni busara, ni afadhali wasingeanza kwa kupiga makelele na vitisho. Mambo ya watu wa Taiwan kumwalika Pelosi yanawahusu nini wachina kama siyo tabia ya kikomunist ya kutaka kumiliki watu wote. Mwaka 2001 Rais wa china na ujumbe wake ulikwenda kumtembelea Bill Gates huko nyumbani kwake Seattle, mbona serikali ya Marekani haikulazimisha kuwa ujumbe huo lazima uende Washington DC
 
Back
Top Bottom