system hacker
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 426
- 709
Waache wajifariji tuPutin bado hajaiweza Ukraine
Russia nae anateseka tu huko mpk leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache wajifariji tuPutin bado hajaiweza Ukraine
Russia nae anateseka tu huko mpk leo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]China ni matapeli tu, hawana tofauti na wale jamaa wa ile hela tuma kwenye namba hii...
Hii AlJAZEERA yangu itakuwa ya Madale maana sioni kabisa hii issueMzee hii ni issue kubwa vyombo vingi vya habari vinarusha hii habari live. Muda nipo naangalia Al-Jazeera hapaa wanarusha LIVE!
Nato Wanasema Bado wanajiweka fit[emoji38]Mchina amekua hana tofauti na NATO,wkt Russia inaivamia Ukraine jamaa wa NATO walikua wanafanya mazoezi,mpk leo Russia anampiga Ukraine bado tu NATO wanafanya mazoezi.
Fuatilia aljazeera English[emoji4]Hii AlJAZEERA yangu itakuwa ya Madale maana sioni kabisa hii issue
Kiongozi ndiyo unatakiwa kuwa hivyo na si kufuata mihemko na ushabiki..Mm nimeridhika sana na maamuzi ya CHINA kutulia(Kama ataendelea kutulia).
Naogopa sana vita vya CHINA na USA, vitatuathiri sana huku. Pale Kariakoo sijui itakuaje.
Mkuu me sio pro US, ila ukweli ni kuwa hawa jamaa wametuacha mbali sana.Watu wa Rainbow mmeanza mambo yenu tena.
Yaani wakipigana mwaka huu, huenda na mwaka kesho wote tungeathirika katika biashara na ingekuwa mbaya sababu ndo kwanza tunaanza kuisahau hasara ya covid.Kiongozi ndiyo unatakiwa kuwa hivyo na si kufuata mihemko na ushabiki..
Sidhani kama kuna mwananchi hata wa China au Taiwan anataka vita kwa sababu hakuna atakaye faidika
Mmarekani anataka aijue nguvu halisi ya mchina,kama alivyo mgundua mrusi kua hana lolote,na lengo ni kuwadhoofisha kiuchumi ili yeye aendelee kua super power 💥Mm nimeridhika sana na maamuzi ya CHINA kutulia(Kama ataendelea kutulia).
Naogopa sana vita vya CHINA na USA, vitatuathiri sana huku. Pale Kariakoo sijui itakuaje.
Kwa lile Biti la China toka Ijumaa, na ukimya wa Biden nilijua hakika Nancy haendi.Kama kukaa kimya ni busara, ni afadhali wasingeanza kwa kupiga makelele na vitisho. Mambo ya watu wa Taiwan kumwalika Pelosi yanawahusu nini wachina kama siyo tabia ya kikomunist ya kutaka kumiliki watu wote. Mwaka 2001 Rais wa china na ujumbe wake ulikwenda kumtembelea Bill Gates huko nyumbani kwake Seattle, mbona serikali ya Marekani haikulazimisha kuwa ujumbe huo lazima uende Washington DC
Acha wakung'utane then tupate The world superpower mpyaLeo ndio leo msema kesho mchawi,
Zaidi ya watu laki tano wanaiouatilia roupe/safari ya Pelosi kuelekea Taiwan ambapo China imekemea vikalh hatua hiyo kwa kurusha ndege za kivita kuizunguka Taiwan huku U.S.A nao wakisogeza meli na manuari zao.
Ungana na maelfu ya watu kufuatilia kitakachojiri kwa kufuatilia safari kwa rada ya flightrader. Bofya link hapo chini
Live Flight Tracker - Real-Time Flight Tracker Map | Flightradar24View attachment 2312006![]()
Live Flight Tracker - Real-Time Flight Tracker Map | Flightradar24
View flight from Kuala Lumpur to Taipei on Flightradar24www.flightradar24.com
Walikuwa wanapiga warning shots maana PLA ilikuwa tayari imeanza kusogeza puaOhoooo, wanashambulia dhidi ya nani tena?
US ifanye hima ipeleke HIMARS mapema sana hapo Taiwan.
Motivational speakers bana,mna vimaneno.Mmarekani anataka aijue nguvu halisi ya mchina,kama alivyo mgundua mrusi kua hana lolote,na lengo ni kuwadhoofisha kiuchumi ili yeye aendelee kua super power 💥
Haya mambo ni planned and organized kitambo 💥💥💥
Super Power wa kimichongoKashatua muda hakuna lolote mikwara tu
Dume juu ya hicho kilisti chako ni US na leo umejionea kwa macho yako!
Angeondolewa madarakani kijeshiHatakiwi kukurupuka maana vita ni zaidi ya maneno, vita inahitaji mipango ya muda mrefu.
Usicheke aisee, China kaonekana boya sana[emoji23][emoji23]
Nimeamini US ni mume wa China.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aibu ya karne hii...