Fuatilia hapa LIVE route - radar ya ndege SPAR19 iliyombeba Speaker Nancy akielekea Taiwan

Fuatilia hapa LIVE route - radar ya ndege SPAR19 iliyombeba Speaker Nancy akielekea Taiwan

Mm nimeridhika sana na maamuzi ya CHINA kutulia(Kama ataendelea kutulia).
Naogopa sana vita vya CHINA na USA, vitatuathiri sana huku. Pale Kariakoo sijui itakuaje.
Kiongozi ndiyo unatakiwa kuwa hivyo na si kufuata mihemko na ushabiki..
Sidhani kama kuna mwananchi hata wa China au Taiwan anataka vita kwa sababu hakuna atakaye faidika
 
Watu wa Rainbow mmeanza mambo yenu tena.
Mkuu me sio pro US, ila ukweli ni kuwa hawa jamaa wametuacha mbali sana.

Mtu ambaye ana mikono kwenye kila system ya hii dunia na bado hatetereki si wa kumchukulia poa. Ukiongelea UN na agencies zake zote, IMF, World bank, maswala ya world security nk kote huko unamzungumzia US.
 
Tayar kesha tweet Nancy pelosi,

Kama kawaida ya USA,
Kisingizio cha uhuni wao siku zote Ni kuleta demokrasia[emoji4]
Screenshot_20220802-183136.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi ndiyo unatakiwa kuwa hivyo na si kufuata mihemko na ushabiki..
Sidhani kama kuna mwananchi hata wa China au Taiwan anataka vita kwa sababu hakuna atakaye faidika
Yaani wakipigana mwaka huu, huenda na mwaka kesho wote tungeathirika katika biashara na ingekuwa mbaya sababu ndo kwanza tunaanza kuisahau hasara ya covid.
 
Mm nimeridhika sana na maamuzi ya CHINA kutulia(Kama ataendelea kutulia).
Naogopa sana vita vya CHINA na USA, vitatuathiri sana huku. Pale Kariakoo sijui itakuaje.
Mmarekani anataka aijue nguvu halisi ya mchina,kama alivyo mgundua mrusi kua hana lolote,na lengo ni kuwadhoofisha kiuchumi ili yeye aendelee kua super power 💥

Haya mambo ni planned and organized kitambo 💥💥💥
 
Kama kukaa kimya ni busara, ni afadhali wasingeanza kwa kupiga makelele na vitisho. Mambo ya watu wa Taiwan kumwalika Pelosi yanawahusu nini wachina kama siyo tabia ya kikomunist ya kutaka kumiliki watu wote. Mwaka 2001 Rais wa china na ujumbe wake ulikwenda kumtembelea Bill Gates huko nyumbani kwake Seattle, mbona serikali ya Marekani haikulazimisha kuwa ujumbe huo lazima uende Washington DC
Kwa lile Biti la China toka Ijumaa, na ukimya wa Biden nilijua hakika Nancy haendi.
Hadi jana usiku ndo niliamini Nancy anaenda.

Ila US mbabe sana, na inaonesha ashampima uwezo China kajua hawezi kitu
 
Leo ndio leo msema kesho mchawi,

Zaidi ya watu laki tano wanaiouatilia roupe/safari ya Pelosi kuelekea Taiwan ambapo China imekemea vikalh hatua hiyo kwa kurusha ndege za kivita kuizunguka Taiwan huku U.S.A nao wakisogeza meli na manuari zao.

Ungana na maelfu ya watu kufuatilia kitakachojiri kwa kufuatilia safari kwa rada ya flightrader. Bofya link hapo chini

Live Flight Tracker - Real-Time Flight Tracker Map | Flightradar24View attachment 2312006
Acha wakung'utane then tupate The world superpower mpya
 
Mmarekani anataka aijue nguvu halisi ya mchina,kama alivyo mgundua mrusi kua hana lolote,na lengo ni kuwadhoofisha kiuchumi ili yeye aendelee kua super power 💥

Haya mambo ni planned and organized kitambo 💥💥💥
Motivational speakers bana,mna vimaneno.
 
Back
Top Bottom