Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account

Hivi ni kweli huoni mantiki ya jina lake kutajwa?? Kweli we ni Kituko

 
Sema wewe ni mwizi !

Lakini usitujumuishe na wakristo wengine (tena wengi tu) ambao hata kama tuna hela ambazo zinaweza kuonekana ni nyingi lakini zimepatikana/zinapatikana kwa njia za halali !

Jisemee wewe mwenyewe, usitusemee sisi wengine !

 
Hivi ni kweli huoni mantiki ya jina lake kutajwa?? Kweli we ni Kituko
Muhongo ametajwa kwa chuki za kisiasa zinazo chochewa na mkono na mengi kwa kukosa kitaru cha gesi.
 
Ivi huyu FaizaFoxy
ni aina gani ya kiumbe.??

Anadai eti gem haijaisha?? Is she INSIDE.

AU K TU.?
 
Last edited by a moderator:
Report ya PAC inasema wazi kuwa Waziri Mkuu Pinda alikuwa anajulishwa kila kitu kuanzia mwanzo hadi mwisho wa kuhamisha fedha za Escrow. Pia hela zilizohamishwa kutoka mkombozi zingine majina ya waliolipwa yamefichwa

tutazunguka kooote na kuwataja weeengi lakini the buck stops with JK. na hili Filikunjombe amelisema indirectly alipom-quote Mwl Nyerere.

tukumbuke kile kisanga ambacho Pinda alitakiwa kumwajibisha yule David Jairo alisubiri eti hadi JK arudi kutoka safari, seuze huu mzigo wa 320B angetoa baraka bila ya bosi wake?

kumuua nyoka piga kichwa tu!!
 
Na akome kiherehere chake ana dharau sana kwa Watanzania eti tunaweza kutengeneza juice tu alinikera Sana tena ajiuzulu uwaziri

Tukimaliza hili mikataba ya madini na gas tutaiona kilaini na tutaigikunyua.Ole wake labda ahame nchi, the Educated Fool.
 
Katibu anaweza akatoa go ahead bila idhini ya waziri,ukizingatia kwenye issue sensitive kama hiyo?cheo ni dhamana aondoke tu akafundishe,kwanza kwa mujibu wa sheria anatakiwa kustaafu,basi akajiajiri tu

Hana sababu ya Kujiuzuru,

Makosa ya Muhongo kwenye hiyo report ni Udalali tu, sasa yeye anahusika vipi na maamuzi ya Mahakama, BOT, TISS, HAZINA.?
 
Genius yule. Embu ingia Facebook account yake uone aliandika nini tarehe 13 mwezi huu, ndio utajua huu mchongo kachonga nani. Lowassa hawezekaniki!

Miye nashindwa kuwaelewa mnaohusisha watu kama Lowasa, Mengi n.k juu ya suala hili eti wana malengo yao ya urais na vitalu vya respectively. Hivi ina maana Lowasa na Mengi waliwashauri watu hawa wapige hili deal????
Wizi umefanywa na wezi hawa kwa manufaa yao, kamati imefanya uchunguzi na repoti imesomwa bungeni na imedhihirika bila mashaka yoyote kuwa wezi hawa wamehusika katika wizi huu, Je Lowasa na Mengi wanaingiaje hapa???
 



Hayo majina naona kama mengi Ni wahaya kunani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…