Tulisikiliza Bunge maarufu.Bunge liliovuta hisia.Ukubwa wa Issue uliwameza sana watu na kujisahau kuwa walikuwa akitumika hapohapo na watu wasio aminika,watu wasio lala wakifikiri namna ya kufikia ktk matamanio,matamanio yanayowafanya waone wengine hawakustahili kuwa sehemu fulani ila wao tuu ndio waalistahili.Ktk hii njia hila nyingi sana zilitembea pale bungeni,na waaminifu walichezewa sana na wapuuzi.Kwa ujumla ilikuwa rahisi sana kuona jinsi TZ haina viongozi wengi sana,hata wakipimwa kwa parameter moja,na zikiongezeka hata 3 CCM hawatakuwa na candidate. 1.CCM walijaribu sana kujifanya wapo upande wa watenda,lengo ni kuteka hisia za watu na baadae kuteka Credits zote za walio upande wa mashujaa. 2.Makinda alikuwa akizunguka zuka akikataa PHRASE za watu ,akijifanya kutaka ushirikiano wa wapinzani.ILa alikuwa anazuga tuu ili pawe kuzuga watu hadi CHENGE ASIMAME na kusema kitu ambacho kingewapa CCM platform ya KULAZIMISHA kuwa UCHUNGUZI UfANYE TENA...Zitto haraka akapigilia msumari.Thanx GOD team Mbowe ikaamka haraka na kugeuza Manowari. 3.Mtoto wa Mgimwa alionyesha ujinga mwingine,akidhani kuwa anaonyesha kuumia sana rohoni,na kuamini kuwa ubunge aliopewa ni huruma ya CCM.Na wapinzani kuotaka uchunguzi wa Waziri anayewajibika kwa Taifa ni kutokuwa na UTU.HUyu mtoto hisia zimezidi akili yake.Sijui angezaliwa kwa Saddam angesemaje..wakati baba anaadhibiwa?Bahati mbaya sana siku anaamka na kufikiri uchunguzi unahitajika atakuwa kachelewa sana,hata wahusika wengine wanaweza wasiwepo.Poor Boy..kwanini hakupiga kimya km watoto wa Nyerere ili kuachia mlango wa possibilities? 4.Zitto nae alionyesha kutofikiri sana, akajiliza akaleta drama.As if wengine nao hawakuwahi ambiwa kuwa wauaji.Ktk chadema wengi wameambiwa kuwa walimuua Wangwe, na wengine.Ila kwa vile Zitto hupenda weka mambo mabaya ktk kila jema atendalo.Akaamua tuyesha haweza kuwa kiongozi wa juu kabisa halafu taifa liwe nyuma yake.Kwake Zitto yeye ndie Victim pekee na wengine wamlilie yeye.Upuuzi mtupu hajui mama yake alikuwa ktk chama na kiongozi aliyestahili wajibika kwa umma wake? 5.Maccm Wengi walikosa uaminifu Hata Pinda aliyepata huruma ya wapinzani alishaanza chafua hali ya hewa ktk hotuba ya mwisho.Wasira nae akaanza weka CCM ktk hotuba ambayo aliyewapa huruma hakuweka chama chake,wala hata jina UKAWA.Ilikuwa nia njema.Maccm kila koda wanayopata wanataka wachukue sifa zote km wanavyoiba hela zote. 6.Compliments za Mzee wa matusi kwa Zitto na kumlinganisha na Mbowe ilikuwa ni attempt chafu ya kumshambulia Mbowe,ni ishara ya udogo wa akili wa Maccm nahofu yao dhidi ya Mbowe.Cha kushngaza ni kwamba,CCM mara nyingi sana wameponea ktk Busara za Mbowe.Ila baada ya hapo huanza mchafua,sijui km wangafanikiwa mchafua sana,kipindi kigumu wamesimama na nani wakati wananchi wakiwa na hasira? 7BUnge lilijaa watu wenye bifano na maelezo marefu ili kujijengea uhalali wa kusikilizwa ila siku zote walikuwa akimalizia kwa kutetea ule ule uovu ambao ktk kuupinga ndio wanasikilizwa.Haswa wabunge wa CCM ambao wengi walijaa wivu kwa kukosa hiyo haramu,wengine walipambana kuwatetea wenza wao ktk makundi,wengine walikuwa akiwamaliza wapinzani wao ktk makundi.