Aah wapi!Al Hilal wameshaingia kwenye mfumo wetu; watapokea 3-1 kama Mazembe
Najaribu kuwaza kwa sauti Mashabiki wa Simba wanawananga sana mashabiki wa Yanga.. Vipi leo wao Simba wakafungwa na Yanga wakashinda..
Mashabiki wa Yanga sijui watatulizwaje maana calculator zitaamiw upande wa Msimbazi.
Mpira wa miguu huwa na matokeo katili sana. Leo yetu macho! maana mmoja kati yenu(Simba au Yanga) anaenda kufungwa na ndo mwisho wake hakuna kwenda robo fainali.
Sawa tumekusikia ila kwa nini unapost mara mbilimbili?Najaribu kuwaza kwa sauti Mashabiki wa Simba wanawananga sana mashabiki wa Yanga.. Vipi leo wao Simba wakafungwa na Yanga wakashinda..
Mashabiki wa Yanga sijui watatulizwaje maana calculator zitaamia upande wa Msimbazi.
Mpira wa miguu huwa na matokeo katili sana. Leo yetu macho! maana mmoja kati yenu(Simba au Yanga) anaenda kufungwa na ndo mwisho wake hakuna robo fainali.
Mtandao Mkuu.Sawa tumekusikia ila kwa nini unapost mara mbilimbili?
Hii ni CAFCL sio UMITASHUMITAUto mkumbuke mliwafanyia figisu Al Hilal walipoomba kucheza ligi ya NBC ikabidi wakimbilie huko Mauritania.
Yanga anakufa
Mlipocheza fainali mkachapwa mama yako alicheza namba ngapi?Hii ni CAFCL sio UMITASHUMITA
Kama timu lako lipo kwenye mashindano ya akina mama hapa usiweke comment
Waza lakini uspige kelele mbele za watu utafungwa kamba upelekwe mirembeNajaribu kuwaza kwa sauti Mashabiki wa Simba wanawananga sana mashabiki wa Yanga.. Vipi leo wao Simba wakafungwa na Yanga wakashinda..
Mashabiki wa Yanga sijui watatulizwaje maana calculator zitaamiw upande wa Msimbazi.
Mpira wa miguu huwa na matokeo katili sana. Leo yetu macho! maana mmoja kati yenu(Simba au Yanga) anaenda kufungwa na ndo mwisho wake hakuna kwenda robo fainali.
Mashindano ya CAFCL mnaruhusiwa kutumia kikokotozi? 🤣Hii ni CAFCL sio UMITASHUMITA
Kama timu lako lipo kwenye mashindano ya akina mama hapa usiweke comment
Anawajaza kwenye mfumo ili wasiparurane kwenye ndege wakati wa kurudiIbenge kasema anaweka B team haya sasa Shadeeya na wananchi mshindwe wenyewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Anawajaza kwenye mfumo ili wasiparurane kwenye ndege wakati wa kurudi
Huyu Mwamba Joseverest hajawahi kukosea. Atatupa live updates bila shaka kama kawaida yake.We umekimbilia kuanzisha uzi usiku usiku ili uwe wa kwanza... Sasa hakikisha unatuletea live updates kweli sio kama mabungunya wengine wanaanzisha live updates halafu anapost full time..
Ukishindwa na wewe utakula ban!!
Good sana Mkuu... let's wait and seeHuyu Mwamba Joseverest hajawahi kukosea. Atatupa live updates bila shaka kama kawaida yake.