Hizi dalili ndiyo zilezileeee!Tafuta vidonge vya sukari na pressure uwe navyo kabla ya mchezo kuanza.
AmeenTimu kubwa,taifa kubwa,mashindano makubwa na uhitaji wa matokeo ni mkubwa,mipango mikubwa,wachezaji wakubwa,mchezo ni mkubwa,matokeo ni moja tu YANGA AFUNGE,AU AL HILAL APIGWE. KILA LENYE KHERI YOUNG AFRICANS SC. FT 0 3
hatawaangusha peke yenu, mtaanguka naye kwa pamoja..!!Mjumbe usituangushe
View attachment 3199685
Utakufa siriniKisirisiri napenda yanga akandwe ila kinuonekano naonekana yanga ashinde
Sio chibite ni cibiteKiswahili: Gusa, Achia, Twende kwao
Kiingereza: Touch, Let Go, Let's Go to Their Place
Kifaransa: Pousse, LΓ’che, Allons chez eux
Kihindi: ΰ€§ΰ€ΰ₯ΰ€ΰ€Ύ ΰ€¦ΰ₯, ΰ€ΰ₯ΰ€‘ΰ€Όΰ₯, ΰ€ΰ€²ΰ₯ ΰ€ΰ€¨ΰ€ΰ₯ ΰ€ͺΰ€Ύΰ€Έ ΰ€ΰ€²ΰ€€ΰ₯ ΰ€Ήΰ₯ΰ€ΰ₯€
Kigogo: Pamye, lechele, chibite kwawo
Yanga Bingwa...
CC: Kolozidad United...
Mmekamatika sanaa,Yanga anaomba mengii sanaaI had the most amazing dream today! I dreamt that Yanga was going to win this game, with the final score being 3-2. The winning goal was going to be a fantastic free kick scored on the left side of the goalkeeper.
WATOTO mida ya saa1 watacheza bonanza,saa4 usiku wakubwa wa nchi ndipo watashuka kuitetea nchi baada ya kudhalilishwa na simba huko angolaNa sindano ni kubwa pia
Dah, kweli nimekumbuka. Nimeshawahi kusoma vitabu kadhaa vya kigogo matamshi ya 'ch' nayaandikwa 'c'. Sijui aliyeamua hivi ni nani maana kigogo hakijawahi kuwa kwenye maandishi hapo zamani...Sio chibite ni cibite
Sawa Mkaitetee nchi vizuri aiseeWATOTO mida ya saa1 watacheza bonanza,saa4 usiku wakubwa wa nchi ndipo watashuka kuitetea nchi baada ya kudhalilishwa na simba huko angola
Mkuu tusijifariji mchezo ushaisha ibenge kashapewa chake kasema atawapangia kikosi b eti kashafuzu kwahiyo hataki kuwachosha key players wake, msomali kashafanya yake safari hii yanga wameamua kutafuta ushindi kwenye kila mechi kwa namna yoyote mradi wasiaibike, wakiwaza zile mbwembwe za kujifanya wana kikosi kipana na kuwauliza watu "we hauogopi" halafu cafcl waje kuishia makundi na nbcpl wakose ubingwa wataambia nini watuMjumbe usituangushe
View attachment 3199685
Leo Africa nzima itatutambuaKaribuni katika Matchday 5 Kati ya Al Hilal Omdurman' na Yanga katika dimba la Stade de la Capitale lililoko mjini Nouakchott, Mauritania, mechi hii itachezwa saa 4 usiku kwa saa za Africa Mashariki (1900Hours GMT/UTC)
Nini kitatokea katika mechi hii ambayo Yanga anahitaji matokeo ya ushindi zaidi ili ajiweke mguu sawa kutinga Robo fainali ilihali Al Hilal wanahitaji sare kufuzu hatua inayofuata na kuongoza kundi?
Kuwa nami mwanzo, kati hadi mwisho wa mchezo huu..
#TotalEnergiesCAFCL
Kikosi cha kwake ibenge, ameamua mwenyewe kupqnga hivyo wewe unaumiaMkuu tusijifariji mchezo ushaisha ibenge kashapewa chake kasema atawapangia kikosi b eti kashafuzu kwahiyo hataki kuwachosha key players wake, msomali kashafanya yake safari hii yanga wameamua kutafuta ushindi kwenye kila mechi kwa namna yoyote mradi wasiaibike, wakiwaza zile mbwembwe za kujifanya wana kikosi kipana na kuwauliza watu "we hauogopi" halafu cafcl waje kuishia makundi na nbcpl wakose ubingwa wataambia nini watu
View attachment 3199794
πππ daah.View attachment 3199635mtani Shadeeya chukua hata calculator 3