Full Time: Azam FC 1- 4 Yanga SC | Community Shield | Final | Benjamin Mkapa Stadium | 11/08/2024

Pacome anacheza mpira wa kizamani sana wa kung'ang'ania kukokota mpira kwa muda mrefu kwa kupiga chenga na hatimaye kupoteza mpira! Anapenda kucheza na jukwaa! Hafai!! Hali kadhalika kwa Kibu wa Simba! Ni uchezaji usiokuwa na tija kwa soka la kisasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…