Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Suala la muda tu timu zianze kuchezea goli 7,6,5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chek uyu anavojikataa ni debora mzee acha kuhafifishadebraaaaaaa
hahahhaChek uyu anavojikataa ni debora mzee acha kuhafifisha
Halitamkwi kihaya hilo jina.....Chek uyu anavojikataa ni debora mzee acha kuhafifisha
ni fernandez mkuuHalitamkwi kihaya hilo jina.....
unasikia watangazaji wanatamkaje wanasema Debora 🤣Halitamkwi kihaya hilo jina.....
Huyo jamaa kazaliwa jijini Luanda,Angola ambao ni wareno.....so kule wanatamka Debrah fernandezni fernandez mkuu
Ngapi ngapi matokeo?
Sasa huyo mnyakyusa/msafwa wa chunya na kireno wapi na wapiunasikia watangazaji wanatamkaje wanasema Debora 🤣
AlooSimba kama man city muda wote inakufosi uwe nyuma ya mpira tu...ukijaribu kufunguka tunakupasua hata kumi
Unasahau yanga alivofunguka akakuchapa mpaka refa akaingilia katiSimba kama man city muda wote inakufosi uwe nyuma ya mpira tu...ukijaribu kufunguka tunakupasua hata kumi
Mulishukuru duka lenu Shomari Kapombe kwa kumuweka dube onsideUnasahau yanga alivofunguka akakuchapa mpaka refa akaingilia kati