Moya moya niliiona mapema kabisa leo mikia mmenyolewa na chupa haahKwa lipi ?
Huu ni ukweli kabisa wakupe chako maana tumeshidwa sisi makolo.MIMI REFA MTANIPA CHANGU TU
NIMEWATOLEA HADI KIPA LAKINI WAPIIII, DAKIKA NIMEZIDISHA WAAAP,, SASA NINGEFANYAJE MIMI
Oya nipeni changu [emoji1787]
Kocha lazima atapewa maelekezo, hakuna kumchezesha huyo πππNa ukijumlisha na ile kauli yake ya kusema anamkubali zaidi Max Nzengeli! Lazima mbumbumbu watamtengenezea tu zengwe!
Kumbe makosa ya aina hiyo, hata wachezaji wa ulaya huwa wanayafanya, na bado maisha yanaendelea.
Wewe kijana akili hauna kabisaMoya moya niliiona mapema kabisa leo mikia mmenyolewa na chupa haah
Kesho na kesho kutwa...Utakuwa lini Musoma?
Nipigie nipigieeeeeπ€£π€£
Pole sana pale chasambi kazingua sanaIkibidi kabisa kwani nini?
Mimi na wasukuma damu damuπ€£π€£π€£Kesho na kesho kutwa...
Usije ukanifokea ukidhani ni Msukuma kakosea namba!
Patachimbika!
Labda kufunga kunyaaSimba lazima afunge mawili
Ndo maana nakukubali sana.Mimi na wasukuma damu damuπ€£π€£π€£
Na angefanya hilo kosa kwenye mechi ya Yanga, lazima wangemtuhumu kupokea rushwa. Yaani sumba ni timu yenye mashabiki na viongozi wenye mihemko sana.Kocha lazima atapewa maelekezo, hakuna kumchezesha huyo πππ
πππππππππππππππππππππππππππNini kimetokea
Kiaje ?Kushona sare ya vitambaa ππ
Ubongo wako wangepewa nyumbu wa serengeti tu.
Akikujibu naomba unitag Mzee mwenzangu.