Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Mkuu ulitupotezea
Mkuu sijawapotezea bali nilikuwa madhabahuni, nilipotoka tu nilikutana na umati mkubwa ukishangilia kwa nguvu, nilipoona tu jezi za washangiliaji nikajua fika kuwa mnyama kaliwa!