zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Mshukuruni Camara leo pale zilikua sio chini ya goli 3 wavuniNa sioni kama anajua "Chemistry" ya wachezaji wake. Na anampenda Fabrice Ngoma lakini Ngoma kwa sasa si mchezaji wa kutegemea.
Halafu style ya.kucheza ya Mutale na Chasambi ni ya kizamani Sana. Ila yeye anapenda style hiyo.
ni lishe tu alikulia kwenye mazingira magumu nywele zikanyonyokaHii timu tunayoambiwa ni ya vijana mbona naona kuna kizee kina hadi kipara huku?
ndo maana tumemsajiliMshukuruni Camara leo pale zilikua sio chini ya goli 3 wavuni
Bado haujasemaMukwala leo kazingua sn, huyo mutale ss mh. Mechi angeanza ateba
Ni bonge moja la timu huko Angola Simba anaenda kufa vibaya hii timu inacheza sio mchezo kuna wapuuzi watasemaje wamedungwa Sindano hahaha
asante sanaTofauti na matarajio ya wengi (ikiwemo mimi) FC Bravos wamejitahidi kupunguza makali ya Simba, walicheza kwa nidhamu kuwaheshimu Simba, baadhi ya wachezaji wa Simba wameshindwa kutumia Nafasi walizopata
Kwani Camara amesajiliwa kuwa mtazamaji? Kwani wewe ukiwalipia school fees watoto wako unahitaji kupongezwa?Mshukuruni Camara leo pale zilikua sio chini ya goli 3 wavuni
Mngekufa vibaya leo wenyewe mnajua fulu mashuzindo maana tumemsajili
Hahaha ndio mmepata cha kuongea hamna timuKwani Camara amesajiliwa kuwa mtazamaji? Kwani wewe ukiwalipia school fees watoto wako unahitaji kupongezwa?
Zilizopatikana kutokana na viungo wa kati kukosa ufanisi wa hizo chances ndio maana unaona kipindi cha pili wamepata upinzani haswaNafasi zipi wakati mipira yao yote ilikua inakufakufa tu haiendi popote
🤣we mkorofi sanaHawa ni mashabiki
View attachment 3162646
View attachment 3162655
Na huyu ni Afisa Habari wao
View attachment 3162653
Na huyu ni former kocha wao
View attachment 3162656
Na hawa ndio wachezaji wao
View attachment 3162654
Na huyu ndio striker wao kinda
View attachment 3162658
Then watumbuizaji na wakata viuno wa hii bendi wakifungwa mechi eti wanaona hawakustahili kupata matokeo ya aina hiyo.
Tumeshafunga hesabuDakika ya ngapi huko jamani na matokeo yakoje
Pole mkuu, yaan mpaka Sasa ungekua mpenzi mtazamaji.Nangoja ban imalizike tar 29
Freshasante sana
Ndiyo hivyo tumepata point 3 na nyie mumelambishwa nyasi kama watoto wadogo.Hahaha ndio mmepata cha kuongea hamna timu
Subiri uende Angola ukashuhudie balaaPoints 9 za nyumbani kati ya Points zote 18 ni Lzm zibaki hapa nyumbani..!
Halafu huko nje Ukifanya Maokoto yoyote ya Points unajazilizia...!
Hizi ndizo hesabu hatua hii ya Makundi.
Sasa nyi Utopolo mmekomaa kichwa mumpige Al Hilal 5 zimewatokea puani..