Full Time: Simba SC 3 - 0 Al Merrikh

H2H inahusisha goli la ugenini ndio.
 
Wakuu bado kundi gumu..tukimtoa El Mereikh waliobaki bado wana nafasi ya kufuzu robo fainali,mpira una suprise nyingi..ni suala la kusubiri na kuona.
 
Kakaa, Hii Simbaa Hatariiii [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Hawaangalii goal difference bali wanaangalia H2H. Angalia hapo chini Casablanca wako juu ya Mamelodi pamoja na Mamelodi kuwa na magoli mengi zaidi ya Casablanca, lakini wapo chini kwasababu wameruhusu goli la ugenini dhidi ya Casablanca mamelodi walishinda (2:1) huku game yao Morocco Mamelodi wakifungwa (1:0)
 
Sawa mkuu.
Kwa mfano Vita akishinda mechi zake zilizobakia na Simba afungwe zote,apo watalingana point kati ya Simba na Vita,je nani atapita apo?
Kwenye head to head nani kamfunga mwenzake goal nying
Ikishindikana hapo wataangalia tofauti ya goal za kufunga/kufungwa
Naweza kusahihishwa
 
Game zote za grupu simba kaongoza kwa kumiliki mpira sio home wala away
 
Hapa pamenifikirisha, Sasa AS VITA alipigwa kwao na Simba....ndo kusema AS VITA akifurukuta saaana ataishia point 10 ambazo Simba Sasa anazo. H2H VITA alipigwa na Simba tena nyumbani...! Kwa hiyo Kwa Simba njia Nyeupee....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…