Wachezaji wengi wa kikosi cha kwanza walikuwa kwenye majukumu ya timu zao za taifa, wamekuja kwa kuungaunga tu siku mbili kabla ya mechijapo wanaongoza kwa bao 2 lkn bado simba hawajatulia kuna tatizo nadhani,
mpangilio wa mashambulizi sio mazuri kabisa.
mkali wa niniJamani nisaidieni bernad Morrison na miquisone Nani mkali zaidii
😁😁😁kimeumanaKimeumanaaa hatariiii
angalia ZBC2Matangazo ya mpira kwa runinga, yapatikanwa wapi?
Nataka Simba ashinde Ahly afungwe ili Simba amalize wa kwanza kwenye kundi awakwepe Mamelodi robo fainali.Matokeo yoyote game la Ahly na Mereikh hayana impact kwa Simba kuingia robo fainali. Simba anachotakiwa ni ushindi au sare, baasi!
Wewe yanga huu Uzi haukuhusu.mkali wa nini
Mugalu kwenye mazoezi anakamua sana, hata wewe ungekuwa kocha angekushawishi umpange mechiWadau kama kuna mtu anajiamini kabisa kwamba Uchawi uppo mimi nimpe tenda, MUGALU awe mgonjwa kila mechi ya Simba ili asipangwe. Nipo tayari kutoa donge nono.
All Simba Fans "SAY NO TO MUGALU"
Ndio cha kuombea maana akimkwepa huyo second placed team probably CR Belouzdad ni mlaini na nusu fainali itakuwa simple kuvukaNataka Simba ashinde Ahly afungwe ili Simba amalize wa kwanza kwenye kundi awakwepe Mamelodi robo fainali.
Miq ni noma,Bm anawahi kuchokaJamani nisaidieni bernad Morrison na miquisone Nani mkali zaidii
Kumbuka wale vibonde walivyotua bongo wachezaji wao 8 walikutwa na korona, ukute game ingekuwa ngumu kwetu kama korona isingekuwepoDaah mwarabu kapotea kwa wale vibonde kindezi hivyo
matikeo ya bongo na sudan yakibaki hivi,huyo tunamkamuaNdio cha kuombea maana akimkwepa huyo second placed team probably CR Belouzdad ni mlaini na nusu fainali itakuwa simple kuvuka
Kwanza tuombe tuingie robo, maana hilo tu ni hatua kubwaNataka Simba ashinde Ahly afungwe ili Simba amalize wa kwanza kwenye kundi awakwepe Mamelodi robo fainali.
anakera huyuSamahan jaman, comments mbovumbovu kwa Mugalu naomba tuziondoe
Mkuu nakubaliana na wewe Mugallu kazingua sana lakini kumuombea mchezaji yeyote maradhi sio uungwanaWadau kama kuna mtu anajiamini kabisa kwamba Uchawi uppo mimi nimpe tenda, MUGALU awe mgonjwa kila mechi ya Simba ili asipangwe. Nipo tayari kutoa donge nono.
All Simba Fans "SAY NO TO MUGALU"