Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi second half amuingize kagere.Sijui kwanini kocha anamuamini kupiga kiasi hivyo..!
Wamepokelewa na Azam FC na Basi pia wamewapa la kwao.Hivi vita nao walipokelewa na Yanga kama ilivyodesturi yao.?
Ama walielewa somo la uzalendo.
Ile mechi simba walikuwa wanaondoka!!Kumbuka wale vibonde walivyotua bongo wachezaji wao 8 walikutwa na korona, ukute game ingekuwa ngumu kwetu kama korona isingekuwepo
Sio kwamba wamepokelewa na Azam. Simba ndio imewapokea kama mwenyeji, na imewakodishia basi la Azam. Ni utaratibu wa kawaida wa CAF. Hata Namungo wanaweza wakaomba basi la Simba litumiwe na wageni wao NkanaWamepokelewa na Azam FC na Basi pia wamewapa la kwao.
Hawana shida hawa.Wamepokelewa na Azam FC na Basi pia wamewapa la kwao.
Yuko benchHivi shishimbi leo hajatokea?
yupo benchHivi shishimbi leo hajatokea?
Azam haijawapokea bali biashara imefanyikaWamepokelewa na Azam FC na Basi pia wamewapa la kwao.
kwani ana kadi 2?Daaah pengo la morrison kwenye mwechi ijayo limeanza kuonekana leo