Trust me the 1st goli, Ndio ile moment akili ya Ally huwa haifanyi kazi.Huo ukuta ni upuuzi huko nyuma...kama.kipa kajitahidi kupangua michomo mpk dkk 77...hao nyuma hapo kina mwamnyeto sijui walikua kama picha??
Karibu congoHamia Congo sasa Tz unasubir nini,
Kama nilivosema tuwapige mbili bila ndio imekua hivoNapenda taifa stars Leo ipigwe hata goli mbili bila
MADroo na makabati yanapatikana Keko tu hapo Mkuu....Hata droo imetushinda jamani
Huu uzalendo wa kuleteana sonona nani anautaka sasa?
Big brother, Connections, wizi wa kura, kukimbiza mwenge na mambo kama hayo.Hii nchi kuna kitu tunaweza kweli? 🚮
Na tumepigikaWapigwe tu...hakuna namna... Wapigwe