FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

Leo kutakuwa na Hat trick kutoka kwa Prince Dube. Naiona Yanga ikicharaza Simba goli zaidi ya 8. Hii mechi itaandika historia mpya kwenye tasnia ya soka nchini.
 
mkojo wako wa asbh dawa nzuri kuondka mikosi balaaà buksi

Weka.mkojo kwenye maji ya kuogea

Weka chumvi mawe

Weka na unga wa kivumbazi

Changanya jimwagie huku unanuia

Pia.mkojo huleta furaha na amani mapenzin

chukua kopo dogo ya maji kojolea xhukua karatasi nyeupe mbele andika jina la mpenzi unaemtaka azidishe ama aongeze mapenzi ama arudi


Na red pen

Nyuma andika jina lakao na pen nyeusi

Kunja mara 3 Weka.kwenye mkojo wako wa asbh tikisa mara saba nuia aunavhotaka kwake

Kama n pesa unaandika kwenye karatasi

Kupata dawa akama hizi za
uti
hiv
kisonono
kurudisha nyota
Nk
njoo mkapa stadium kuona ushindi wa Yanga Unapona kakitu
 
Haumtakii mema aziz wew,akijarib kuleta mbwe mbwe kwa huyo jamaa itakula kwake akae nae mbali ,debora akiweka mguu wake huwa harudishi nyuma kile ni chuma kingine..
 
Kama unataka kumtakia mabaya ndugu mwizi rafiki yako

Chukua yai viza 2

Andika jina zake zote na peni nyekundu

Nendaa njiapanda kama nilivyoiandikia simba leo

Vunja yai moja nuia sema m xxxx nataka simba sport club iadhibiwe sio chini ya goli 5 ee Mungu nsaidie

Kama n mtu. Mwombeee mabaya yapite nae

Ka pili katupie choon flash kamaninavyo kuflash ewe xxxx uka[taja mabaya yakamkute]


Niko pale kwenye vip B nasubiria neema ya Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…