Yani alietuloga kwny hizi timu alaaniwe...Tanzania yafunguliwa Kesi ya Madai ya Tsh. Trilioni 3.2 kutoka kampuni ya Orca Energy kwa kukiuka Mkataba wa Uwekezaji
Ukisoma hii unaelewa nini? On August 5, 2024, this was confirmed by a letter received by PAET from the Ministry of Energy, in which the Ministry of Energy demanded that PAET propose suitable wording for an "interim arrangement" to extend the provision of PG. The letter further states that if...www.jamiiforums.com
Watanganyika,ondokeni huko wekeni vichwa na akili zenu humu. Tunapigwa na kitu kizito
Kwa APR mlikua imara ghafla leo hamja unganaHatujafa tumeimarika....wwmzee
ππ€£ππππππππππππ Mtani tukutane ligi kuuAcheni wivu...yani kagoli kamoja ndo msahaau mtiti mliopata dimbani?
Shida nyie hamna hela za kwenda kurefresh...πππ
Hizo ni tabu zenu sio zetu...
ππ€£ππYani alietuloga kwny hizi timu alaaniwe...
Masikini ndo umeshakuwa kilema Sasa.Nasisitiza Yanga wakipata hata goli moja nikatwe korodani.
Simba ni Academy, watu katikati ya msimu tu watu wanakuja kuchukua wachezaji watakaoonyesha uwezoSimba haina timu, ina kikosi, hichi kikosi kikija kuwa timu kitasumbua kwa muda mrefu sana.
Tuwasajili watu wanaorukaruka na kuanguka uwanjani na videri vyao?Halafu baadae mnawasajili.
Hata pale hatukua fresh...uwe mkweli tuu na wewe kwani kukubali sh ngapi bwanaa??Kwa APR mlikua imara ghafla leo hamja ungana
Mpira hauchezeshwi kwa wisdomHujaelewa point yangu mzee.
Nachomaanisha referly ametumia wisdom zimebaki sekunde ya nini kuhangaika na penalty!!??
Pia usisahau na sisi tungelilia penalty ungekua umekufa tatu wewe.
Refer alikua fair mchezo mzima.
Imeanza lini kuwa academy?Simba ni Academy, watu katikati ya msimu tu watu wanakuja kuchukua wachezaji watakaoonyesha uwezo
Toa location visu tumenoaNasisitiza Yanga wakipata hata goli moja nikatwe korodani.
Uzuri wa simba ni UPI?Simba hii iko vizuri sana
Kumbe ndo naona mi reply yangu kama yoteee...ππππAfu Toka jana sijui hii forums imepata shida gani
Haya nenda kapige penalty sasa, kwenye 5imba day mlikosa leo ndio mngepata?Mpira hauchezeshwi kwa wisdom
...mpira unachezeshwa kwa sheria+kanuni. Ile ni clear penalty..
.period.