FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

Vijeba fc, aka nyuma mwiko leo wataomba maji na hawatapewa,,
 
1, Camalla
2, Kijili
3, Zimbwe Jr
4, Kalaboue
5, Che Marlon's
6, Ngoma/Okejefa
7, Fernandez Mendoza/Balua
8, Awesu Awesu/Mzamiru
9, Mukwala
10, Ahoua
11, Mutale
 
Waleteni wazee wa TASAF tuwatapishe ugoro na buza
 
Waleteni wazee wa TASAF tuwatapishe ugoro na bu
 
Cookie amekuja hapa anashangaa tu, hajui kuna ma moderater madikteta humo ndani kwao.
Wanafuta nyuzi za watu waliowatangulia.
Active yeye kala buyu kabisa!! Hajui kitu
Mkuu,
Tuweke focus kwenye mechi hii, wrnzako wameshaweka ahadi timu zao zikifungwa watafanyaje, wewe hujaweka ahadi.

ID unayoilalamikia sio Moderator wa JF
 
Picha limeanza, nimelalia jezi ya Yanga leo.

Tutafune hilo kubwa jinga kelele ziishe sasa, ishakuwa kero. Msimu uliopita palitulia tuli, huu nao tukate midomo yao mapema.
Wameanza kunenepa acha tuwafarakanishe warudi kushika tama

Yanga Bingwa[emoji172][emoji1665][emoji169]
 
[emoji881]
[emoji3590][emoji833]
[emoji120][emoji120]
Hallah
Nguvu 1
Ubaya Ubwela.
!!!!
 
Back
Top Bottom