cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji91][emoji91][emoji91]Kila lenye kheri Simba Sport Club....
Ubaya Ubwela....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji91][emoji91][emoji91]Kila lenye kheri Simba Sport Club....
Ubaya Ubwela....
TawileYanga 4
Debora fc 0
Unasikitisha sanaAGG.
SIMBA 2 YANGA 7
UnaotaTawile
mpira ni saa ngapiUnasikitisha sana
Wataulamba tu.Waleteni wazee wa TASAF tuwatapishe ugoro na buza
Basi sawa kumbe na wewe hujui kitu sasa.Mkuu,
Tuweke focus kwenye mechi hii, wrnzako wameshaweka ahadi timu zao zikifungwa watafanyaje, wewe hujaweka ahadi.
ID unayoilalamikia sio Moderator wa JF
Saa moja!!mpira ni saa ngapi
Sold outOya vipi huko full house au?
Mimi baada ya kuona kikosintaweka koment yangu baada ya dk 90+
Mpira haunaga hiyo mambo lazima tuheshimu wapinzani wetuLeo kutakuwa na Hat trick kutoka kwa Prince Dube. Naiona Yanga ikicharaza Simba goli zaidi ya 8. Hii mechi itaandika historia mpya kwenye tasnia ya soka nchini.
Hii sio mara ya kwanza kulalamika kuhusu hiliMkuu,
Tuweke focus kwenye mechi hii, wrnzako wameshaweka ahadi timu zao zikifungwa watafanyaje, wewe hujaweka ahadi.
ID unayoilalamikia sio Moderator wa JF
Nipe ticket nikakae kule VVIP, [emoji23][emoji23]Haya Tusogee Uwanjani Tucheki Boli...
Tuangalie Jinsi Yanga Anavyoteseka Leo kama Mbwa kokoView attachment 3064646