BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😁😁🤣🤣 Kuna video nimeona wanasema eti mangungu anazinguaKabisa mtani wangu...mashabiki milipuko watuache kwanza na milipuko yao...
Bado ana kitete straika wetu mrf kuliko goli...zile shwaaa shwaa tusubiri labda msimu ukianza...Naunga mkono hoja timu mnayo shida umaliziaji tu
Ushindi ni ushindi haijalishi ni penat au niniUshindi wa kinyonge sana huo,
Almost wachezaji wetu wote wageni
Subiri wapate muunganiko.
Hongera mtani umeshinda lakini kwa taabu sana
Ulitaka na leo udhalilike kwa Gori 5?Kwa hiyo hiki ndicho kikosi cha Yanga wanachokwenda kuchukua ubingwa klabu bingwa Afrika?
Nauona mwanga angavu ndani ya chama la SimbaSC, ila kibu Denis hafai ashakuwa mzembe wamuweke kando hana tofauti na Mzize kila akishika mpira anapoteza na kuwapa tabu wenzake.
Hao ni utopolo nakwambia...wanatutoa kwny reli😃😃😃😃🤣😁😁🤣🤣 Kuna video nimeona wanasema eti mangungu anazingua
Kwni Chama alicheza? Mbona sijamuona jameni...KIKUBWA CHAMA HAJAFUNGA 😂
Hii hii ya kubutua butua?Simba hii iko vizuri sana
Ngapi ngapi hukoNitakuita asipotoa update
Hujiamini na timu yako bila shaka ni kolo
sasa si wanasimba wanajipooza🤣🤣Kwni Chama alicheza? Mbona sijamuona jameni...
Mkwe! Nimekukanda 1Ngapi ngapi huko
Kabisa 🤣Bado ana kitete straika wetu mrf kuliko goli...zile shwaaa shwaa tusubiri labda msimu ukianza...
Hzi takwimu zinaibeba Simba...inaonekana mlikua mnakimbizana na mipira bila mipango...Takwimu Cc ephen_ View attachment 3064826
Mkuu,Basi sawa kumbe na wewe hujui kitu sasa.
Anyway kesi ya nyani......
🤣🤣🤣🤣.
Nina imani na Simba.
Sisi tunanguvu!!
Ahadi yangu. Utopolo wakishinda hii game niitwe farida, nimekaa pale!!
Pale mbele kwenye Kiungo cha mwisho kwenda Kwa forward bado kuna shida mipira haifiki inablokiwa sana... Simba mmetemgeneza nafasi lakini kupiga penetration pass ndo kisanga.... Anyway sio mbaya ila hii n derby mi siwezi ila credit Simba Hadi kwenye game za kawaida siwezi jua labda wamejitoa mhanga Tu
Acheni wivu...yani kagoli kamoja ndo msahaau mtiti mliopata dimbani?
Shida nyie hamna hela za kwenda kurefresh...😃😃😃
Hizo ni tabu zenu sio zetu...1
= Human being
1 goal = Kalpana creature's occurrence.Hao ni utopolo nakwambia...wanatutoa kwny reli😃😃😃😃