FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

FULL TIME: Yanga SC 1-0 Simba SC | Semi-Final | Community Shield | Benjamin Mkapa Stadium | 08/08/2024

IMG-20240808-WA0005.jpg
 
Kwa hiyo hiki ndicho kikosi cha Yanga wanachokwenda kuchukua ubingwa klabu bingwa Afrika?

Nauona mwanga angavu ndani ya chama la SimbaSC, ila kibu Denis hafai ashakuwa mzembe wamuweke kando hana tofauti na Mzize kila akishika mpira anapoteza na kuwapa tabu wenzake.
Ulitaka na leo udhalilike kwa Gori 5?
 
Mtoto Kautaaaaa
Mtoto kautaaaaa
Mtoto kautakaaaaaa
Mtoto Kautakaaaaaaaa
Huyo Mtotoooooooooooooooo
Wahuni huyo mtotooooooo
Kautaka mwenyewe huyooooo
Kawaletea wahuni shobo huyoooo Cc ephen_
20240727_215048.jpg
 
Pale mbele kwenye Kiungo cha mwisho kwenda Kwa forward bado kuna shida mipira haifiki inablokiwa sana... Simba mmetemgeneza nafasi lakini kupiga penetration pass ndo kisanga.... Anyway sio mbaya ila hii n derby mi siwezi ila credit Simba Hadi kwenye game za kawaida siwezi jua labda wamejitoa mhanga Tu

Acheni wivu...yani kagoli kamoja ndo msahaau mtiti mliopata dimbani?
Shida nyie hamna hela za kwenda kurefresh...😃😃😃
Hizo ni tabu zenu sio zetu...1

= Human being

Hao ni utopolo nakwambia...wanatutoa kwny reli😃😃😃😃
1 goal = Kalpana creature's occurrence.
11 Makolokolo SC players + Referee VS 11 Yanga SC.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Back
Top Bottom