Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Kikosi kivipi? Ushayaona maharage yanapopikwa?Ila tuache itani Simba Wana kikosi ila inahitaji uvumilivu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikosi kivipi? Ushayaona maharage yanapopikwa?Ila tuache itani Simba Wana kikosi ila inahitaji uvumilivu tu.
Una choo kizuri??Mkuu samahani lakini me nataka uwe nyumbandogo wangu unasemaje
Washazungumzia yote mpaka ile aliyosukumwa dube ndani ya boxNinachosema ni kuwa umakini wa kuzuia shambulizi unapungua ukiona kuwa kibendera kipo juu, vipi hao wachambuzi hawajazungumzia faulo aliyochezewa mchezaji wa simba ndani ya box dakika ya 93?
Nililala zangu mieSimwoni ephen
Pole mkwe atakaa sawa☺️Ba
Bado mkwe, therapy is on progress. Like three weeks remained.
God is good
Na kufungwa mkafungwa Jumapili saa nane mchana pale Lupaso kutokuwa na Fainali ya LAWI CUP kati ya Kolo na Kosto, atakayeshinda ndio atakuwa mmiliki halali wa Mchezaji Lameck Lawi 😂 Cc ephen_Ball tumepiga lakini...
Sio mimi, nilikuwa nimelewa!Mkuu,
Tunakusubiri
😂😁Teh teh teh...
Naona kuna watu wananiita Farida, sijui kwanini.
Ulikunywa pombe ganiNaona kuna watu wananiita Farida, sijui kwanini.
Mimi jana na juzi nilikunywa sana pombe.
Kila nilichosema sikuwa na akili timamu
Jitu lililojinunulia SANDA lishakufayaishe mkuu, tukutane baada ya jitu kufa
Wewe si umeokoka. Pombe za nnSehemu nzuri sanaa! Hizo pombe ni zako?😉
Umeumia tu leo au unaumiaga siku zoteWanathiimbaa...nimeumia sana leo[emoji16][emoji16]. Kidogo nipigane walah
Hakuna moto na moto hapo. Kuna kibonde mmoja hapoLeo ndo nimekaa nikaangalia mpira wa simba na Yanga vzr...itoshe kusema tuu kwamba Simba ipo motooo...na Yanga wapo moto sio mbaya ila leo ni kama walipoa...
au nadanganya ndugi wachwambuzi...
Cc Labani og and Vincenzo Jr
Na goli la azizi likikuwa clear goal.Mpira hauchezeshwi kwa wisdom
...mpira unachezeshwa kwa sheria+kanuni. Ile ni clear penalty..
.period.