Full Time: Yanga SC 1 - 3 Tabora United | NBC Premier League | Azam Complex | November 7,024

Tatizo Yanga wanataka wakafunge ndani ya 18 siku ile Pacome alifunga nje ya 18 ndio wanatakiwa wafunge magoli ya vile haya magoli ya pasi pasi mpaka ndani ya 18 ni kupoteza muda tu nje ya 18 pale achia dongoooooo usilembeeeee
Na ndio ufungaji utakaolipa mambo ya wanaopaki bus
Na kila timu saizi lazima ikamie
 
Ukute jana wenzio walikuwa wanaona wanafukuzwa na nyuki
Ohooo 🤣🤣🤣
 
Na ndio ufungaji utakaolipa mambo ya wanaopaki bus
Na kila timu saizi lazima ikamie
Ndio dawa ni hio inabidi wakifika nje ya box waachie mikuki pale wasisubiri mpaka waingie ndani ya 18 yaan nimeshangaa Aziz Ki alikua na hio kawaida naona Gamond kampiga marufuku kwa hio sasa hivi analazimika akafungie ndani ya 18 wakati mnaocheza nao wanawakamia fika nje ya 18 achia fataki moja lenga goli lazima goli liingie tu, Yanga kuna tatizo sio bure kuna tatizo wachezaji kuna kitu wanalazimishwa wafanye kwanini hawachezi kwa uhuru kwanini mpaka ndani ya 18? Kwanini sio nje ya 18? Yaan pale jana nafasi kibao nje ya 18 wangeachia mashuti lazima kuna mashuti hata matatu yangeingia wavuni
 
kushuti nje ya 18 nakufunga goli inahitaji enegy kubwa sana jambo ambalo wachezaji wa nyumamwiko hawana kwa sasa
 
kushuti nje ya 18 nakufunga goli inahitaji enegy kubwa sana jambo ambalo wachezaji wa nyumamwiko hawana kwa sasa
Sureboy mboni alikua anatia mashuti pale ila tatizo ni kushindwa kulenga goli tu hivi vitimu vinavyokamia kamia dawa yao ndio hio tu fungia mbali tia mashuti ya mbali mpaka kipa afie uwanjani tia mashuti ya mbali mpaka kipa akidaka aletewe machela akapumzike nje

Tatizo sio kwamba Yanga hawafungi kwa kupiga mashuti ya mbali ila naona kocha kabadiri mfumo anataka wafungie ndani ya 18 sasa kufungia ndani ya 18 kwa wakamiaji sio jambo la kawaida fungia mbali tia mashuti ya mbali mpira lazima utaingia tu, Gamond awaachie wale wachezaji wafunge magoli ya mbali sio anawalazimisha wakafungie ndani ya 18 kwa timu zinazokamia lazima abadiri mfumo mashabiki tunachotaka ni magoli sio mbwembwe sisi goli liiingie tu sio kingine hayo masuala ya mfumo mfumo baki nao huko huko sisi tunataka magoli tu
 
Nawambiaje. Kuna namna hizi timu mbili wanamtumia haji manara katika kupata ushindi. Naona toka yanga waanze kuwa na mzozo na manara mambo yamekuwa magumu sana kwao.
Simba Haji alitumika kama msemaji na mhamasishaji tu. Kwa Yanga anatumika kama mratibu wa waganga, sina hakika kama kuna mabadiliko
 
Mmemuona Azizi Ki saizi yupo ndani na hakuna kitu anafanya.

Then akitoka nje anageuka kuwa kocha msaidizi kuanza kuwa lecture wenzake.

Anaona ni rahisi kuwaambia wenzake cha kufanya wakati yeye akiwa humo ndani anashindwa kutekeleza
Ndio mpira ulivo mkuu
Haya waangaliaji pia wakatj mwengine hugeuka tukawa makocha 🤣🤣🤣
 
Hawa, pamoja na kwamba kiafya nyuki watatu wakikudunga ni TIBA, wakumbuke kilichoipata timu ya IHEFU. Baada ya kutambua kuifunga Yanga kila msimu hatimai haipo katika Ulimwengu wa soka.
 
Sasa tukipunguza mdomo tutakula na kuzungumza kwa kutumia nini bila kuwa na mdomo? <do,o mi kitu cha muhimu sana katika maisha ya kila kiumbe; hata wewe una mdomo na huwezi kuupunguza.
Unajua mzee...

Hapa duniani, hakuna watu huaibika kama wajuaji...

Ukijifanya wajua kila jambo, waja watakusubiri siku ya aibu yako wakunyooshe vizuri...
 
Simba Haji alitumika kama msemaji na mhamasishaji tu. Kwa Yanga anatumika kama mratibu wa waganga, sina hakika kama kuna mabadiliko
Wamemvuruga ndio maana mambo hayaendi kwao vizuri siku ukiona picha za haji akianza kuisifia yanga ujue mamb yatakuwa mazuri upande wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…