Full Time: Young Africans 4 - 0 Tanzania Prisons | NBC premier league | KMC Complex| Disemba 22, 2024

Full Time: Young Africans 4 - 0 Tanzania Prisons | NBC premier league | KMC Complex| Disemba 22, 2024

Kula hioo
 

Attachments

  • Screenshot_20241222-200625.jpg
    Screenshot_20241222-200625.jpg
    289.7 KB · Views: 2
Kyla hiooo Iko jf
 

Attachments

  • Screenshot_20241222-201227.jpg
    Screenshot_20241222-201227.jpg
    268 KB · Views: 2
Kula hiooo
 

Attachments

  • Screenshot_20241222-201158.jpg
    Screenshot_20241222-201158.jpg
    267.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20241222-201139.jpg
    Screenshot_20241222-201139.jpg
    273.2 KB · Views: 2
Dooh kutoka kuwa na kikosi kipana na kuwauliza watu "we huogopi" hadi leo hii kusema timu inajitafuta kweli maisha yanaenda kasi sana, sasa kama likikosi lipana kama lile mliloona hakuna wa kulifunga hapa afrika limeweza kufungwa na kuburuza mkia huko klabu bingwa siku mkiwa na kikosi kibovu je itakuwaje, kwahiyo simba ikifungwa ina kikosi kibovu ila yanga ikifungwa ni wachezaji tu waliyumba kidogo aloo mashabiki wa yanga mpaka leo sijui huwa mnatumia nini kufikiri
😀😀😀
 
Nyie endeleeni kujifariji wakati ndipo uwezo wenu ulipoishia, mkija kushtuka msimu umeisha na hamna kombe lolote, kitu pekee mtakachobaki kujivunia ni kumfunga mtani tu
yanga akose kombe nani atalichukua sasa
 
Ulitakaje kwani bwana mbumbumbu? Tulishakubaliana kwamba atutoitaji malalamiko ya namna yoyote yale kutoka umbumbuni kwakuwa wakati yanga imeyumba kidogo mlifunga mabakuri yenu na kufurahia,,sasa Kila timu ishinde mechi zake inavyoweza tutaona mwisho wa msimu timu Bora ni ipi itayobeba ndoo!
Mabakuri - mabakuli
Atutoitaji - hatutohitaji
 
Back
Top Bottom