Vice J
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 530
- 766
Kijana uko vizuriYanga 4 : Jelajela 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana uko vizuriYanga 4 : Jelajela 0
Nenda googleWeka video tuone
Umesepa tena 🤣Nenda google
Nafasi ya mwisho CAFCL ni bingwa huko shirikishoHuko cafcl unashika nafasi ya ngapi?
1938Weka picha na ushahidi wa video na mie niweke video zangu
Kuwaza kwa hiivi kwenye mpira ni ujinga nimesema ni goli la mkono kataa au kubali Full stopBasi tumeondoa ilo goli Moja tumewapa mbumbumbu yamebaki mangapi?
Babu yako au wewe mwenyewe mtakua waganga wa kienyeji kweli mechi imeisha moya moya..Moya moya
Endelea kujidanganya, na hizo medali mnazoringia caf mmezitoa wapi?Nafasi ya mwisho CAFCL ni bingwa huko shirikisho
😀😀😀Dooh kutoka kuwa na kikosi kipana na kuwauliza watu "we huogopi" hadi leo hii kusema timu inajitafuta kweli maisha yanaenda kasi sana, sasa kama likikosi lipana kama lile mliloona hakuna wa kulifunga hapa afrika limeweza kufungwa na kuburuza mkia huko klabu bingwa siku mkiwa na kikosi kibovu je itakuwaje, kwahiyo simba ikifungwa ina kikosi kibovu ila yanga ikifungwa ni wachezaji tu waliyumba kidogo aloo mashabiki wa yanga mpaka leo sijui huwa mnatumia nini kufikiri
yanga akose kombe nani atalichukua sasaNyie endeleeni kujifariji wakati ndipo uwezo wenu ulipoishia, mkija kushtuka msimu umeisha na hamna kombe lolote, kitu pekee mtakachobaki kujivunia ni kumfunga mtani tu
6?Vipi ajapata
Kwahiyo pastor ndio alikuwa anacheza uwanjani?kweli dunduka ni dunduka tu.Hata uishe akiwa na Hattrick bado itabaki vilevile tu kuwa hizo sio nguvu zake ni za Pastor.
Chomeni na nyinyi kama mnaona ujinga mnao ueneza inawezekanaYanga wameanza kuchoma sindano tena, daaa.
Mabakuri - mabakuliUlitakaje kwani bwana mbumbumbu? Tulishakubaliana kwamba atutoitaji malalamiko ya namna yoyote yale kutoka umbumbuni kwakuwa wakati yanga imeyumba kidogo mlifunga mabakuri yenu na kufurahia,,sasa Kila timu ishinde mechi zake inavyoweza tutaona mwisho wa msimu timu Bora ni ipi itayobeba ndoo!
Dube na Bacca wanalingana magoli. Yupi ndo striker?Unamjuaa Mpumelelo Dube wewe??.!