Uchaguzi 2020 Furaha Dominic Jacob mshindi wa kura za maoni CCM jimbo la Kawe ni nani?


... kuna miezi kadhaa kule North Korea, dadae Kim alifanya yake. Dadas could be as powerful. Imagine mtoto wa dadae ambae ni bonafide mjomba aweza kuibua powers zake pia.
 
Hongera Furaha, sayansi gani katumia huyu kijana kuwabwaga wenzake 175? tujifunze kwa anaejua atujuze!
Mimi nimeshaanza tilia shaka kwa wapiga kura hizi sijui kama walifuata huru na haki... Si mnakumbuka kilichompata kibajaji dom siku chache kabla ya kura hizi ?
Ni kama ktk kundi lile kunakua na kamati mipango... Kilichonishangaxa mawaziri wengi vigogo wamepeta wengine hata huko kwao hawajazoeleka
 
DADA TUMEMCHOKA,HAKUNA ANACHOFANYA KAWE.TOKEA MWAKA 2015 SIJAMWONA AKITEMBELEA JIMBO LAKE KUNA SHIDA YA MAJI SEHEMU ZA MSIGANI NYAKASANGWE N.K MIUNDOMBINU YA BARABARA SHIDA SANA
Wajinga mko wengi ccm imefanya nini tangu uhuru na bado unaicjagua jinga kabisa
 
Vitu vya ajabu nadhani wewe ndio ujui. unajua kafika je hapo alipo. huyu ni binadamu bwana si vitu vya kuokoteza
 
Vitu vya ajabu nadhani wewe ndio ujui. unajua kafika je hapo alipo. huyu ni binadamu bwana si vitu vya kuokoteza
Kumbe huyo dogo anafaa mung’onya halima asubuhi! Hivyo anawafaa CCM maana kwa CCM ni kutafuta ushindi. Nyote mnaompiga madongo huyu bwana mdogo ni wapenzi wa Halima tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…