Uchaguzi 2020 Furaha Dominic Jacob mshindi wa kura za maoni CCM jimbo la Kawe ni nani?

Nimeangalia alichokisema kwenye kuomba kura, hakuna alichovutia!!
Kama hii ndio style yake na tayari kuna minongono ya chini chini kuhusu ni mwana familia. He is a liability! Halima Mdee will eat him alive!!
CC should dump him!
 
Mungu anampenda sana Halima Mdee, maana kupitia kwake furaha halisi ya wana Kawe itarudi!
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Halima atakua amewahonga ccm hadi wamemletea mtu ambaye wenyewe hawezi kumpa kura
Nimeangalia alichokisema kwenye kuomba kura, hakuna alichovutia!!
Kama hii ndio style yake na tayari kuna minongono ya chini chini kuhusu ni mwana familia. He is a liability! Halima Mdee will eat him alive!!
CC should dump him!
 
The clue is in the pudding
View attachment 1513600

yaani CV nyingine zitajaleta matatizo km kwa Kolomije
  • Hapo kwenye Elimu kizungumkuti
  • Chato haipo Bukoba ingawa kuna Wahaya, ukweli Chato ipo Geita na sio Kagera
hiyo CV hakuandika yeye
[/QUOTE]
Chato zamani ilikuwa Kagera kabla mkoa wa Geita haujaanzishwa.
 
The clue is in the pudding
View attachment 1513600

yaani CV nyingine zitajaleta matatizo km kwa Kolomije
  • Hapo kwenye Elimu kizungumkuti
  • Chato haipo Bukoba ingawa kuna Wahaya, ukweli Chato ipo Geita na sio Kagera
hiyo CV hakuandika yeye
[/QUOTE]
Studied at DIT Ina maana hakugraduate? Alidisco? Au Alisoma evening class? Halafu mbona amekaa Kama wasiojulikana?
 
Yaani nchi hii ukiwa ccm raha jamani

Your browser is not able to display this video.
 
Ili ni jukwaa na Siasa lakini
 
The clue is in the pudding
View attachment 1513600

yaani CV nyingine zitajaleta matatizo km kwa Kolomije
  • Hapo kwenye Elimu kizungumkuti
  • Chato haipo Bukoba ingawa kuna Wahaya, ukweli Chato ipo Geita na sio Kagera
hiyo CV hakuandika yeye
[/QUOTE]
Chato zamani ilikuwa wilaya ya Bihalamuro,mkoa wa Kagera. Wewe ndo huna unalolijua.
 
Dogo ni kitengo yupo kitambo kwa influence ya uncle wake, na kawe kawekwa kwa mkakati maalumu!!

Hajaomba kura Wala hajaulizwa swalii itoshe kusema never underestimate the power of unknown
Kitengo gan
 
Wanachama tutampigania
 
Ulisikia alichokisema alipopewa nafasi ya kuongea mbele ya wajumbe?
Dogo katjmwa na uncle wake huyo ukitegemea nani ampinge uncle?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…