Siri ya ushindi, mpwa wake kaamka vizuri.Following,kijana kaangusha mibuyu. Nini siri ya ushindi wake ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siri ya ushindi, mpwa wake kaamka vizuri.Following,kijana kaangusha mibuyu. Nini siri ya ushindi wake ?
Kigogo kasemaje nae?Mtoto wa dadake magu kwa taarifa za mange kimambi.
Why hope it's not true? Haruhusiwi kugombea kwa sababu inasemekana ni mpwa? Unless uoneshe amebebwa hoja ya undugu haina mashiko. Huwezi mwadhibu mtanzania kwa kumnyima opportunity eti kwa sababu ni ndugu wa fulani. Kila Mtanzania ana haki zake kama mwananchi!Napata nyepesi ni ndg yake na jiwe,Nephew wake..hope its not true..
Huyu ni mtoto wa dada nadhani utakuwa umeng'amuaNaona hamna mtu anayemjua vizuri humu. Watu wanaongeaongea tu
CCM hatutafuti mtu wa kushindana na Mdee.Mdee ni non issue.CCM tunatafuta mtu tunayejua atatusaidia kutekeleza ilani ya CCM tunayoenda nayo kwenye uchaguziSio mpinzani sahihi kwa mdee. Kamati kuu waangalie mtu anayekubalika kwa raia na sio pale ofisini kwao kawe vinginevyo wanampa mdee jimbo mapema tuu..
Look nani anazungumza, wewe nyege zimekuouta akili, go and get laid. Ukiwa sexless kwa ulimwengu wa maana yake mtu asiye na uwezo wa kumshawishi msichana au mwanamke, na watu kama nyie huwa mna uhasidi, hasira, chuki na mapungufu mengi sana. Pole na utazidi kuumia.Mwaka mgumu Sana huu kwa makahaba wa kisiasa kama huyu ex- wa CDM
Hiyo sifa tu ya Umbea ndio imempa ushindiKumbe. Sasa hiyo influence kwa wajumbe aliifanya lini ?Au kakulia Osterbay kwa Magufuli ?Mtoto wa dada yake yupi ?
2Katibu Mkuu Mstaafu CDM Kapata Ngapi Jamani?
Halima ni mziki mnene yule.Kwani Halima alishinda vipi mara ya kwanza? Mbona hakujulikana? Mwanzo wa 10 ni 1, go figure, ...
Waumini wake wamemuangushaGwajiboy kapata ngapi tuanzie hapo
Ndiye aliyeshinda,ulitaka wafanyeje.Habari,
Naomba kupata Taarifa ya mshindi wa kura za Maoni Jimbo la Kawe ndugu Furaha Dominic ni nani haswa?
Imekuwaje akawashinda vigogo wengine kwenye kura za maoni ndani ya CCM katika Jimbo la Kawe?
Je, ni mpinzani sahihi kwa Halima Mdee kwenye uchaguzi wa Oktoba?