Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
Baada ya kuiona habari hii nikaona acha nivae uhusika. Ya watuhumiwa wa ugaidi kuachiwa huru baada ya miaka tisa ( 2014-2023).
Katika hali ya kawaida tu mtu anapotoka kwenye matatizo basi roho yake na nafsi yake usawajika.
Tokea 2014- 2023 ni miaka 9 imekatika wale walioingia gerezani kwa tuhuma ya kesi za ugaidi sasa wameachiwa huru kabisa.
Nashukuru kwanza kwa jamaa kuachiwa ila bado nabaki na maswali maana kesi au matatizo yanamkuta mtu yoyote yule.
Wapo ambao sio watumia bangi lakini washawahi kukamatwa na kukutwa na kesi za bangi. Maswali ninayojiuliza mda huu;
1. Huyu mtu aliyefungwa miaka 9 akifika nyumbani kwake anaanza vipi kutengeneza uhusiana wake na mtoto wake (Kwa sababu malezi yanahitaji wazazi wawili). Mtoto anamtafsiri vipi baba yake ?
2. Huyu mtu kabla ya tuhuma labda alikuwa na biashara zake atajisikia vipi akifika nyumbani akikuta hakuna kitu kabisa (kuanza mmoja)?
3. Vipi mkewe kipenzi aliyemuacha miaka 9 nyuma bado anamsubiri yeye tu arudi maisha yaendelee au kashaolewa na mwanaume mwengine?
4. Serikali unamuacha acha vipi huyu mtu ambaye ana hatia wanamuachia kwa kauli yupo huru tu au kuna chochote kitu anapewa kimsogeze kimaisha?
Tujadilini kwa pamoja.
Katika hali ya kawaida tu mtu anapotoka kwenye matatizo basi roho yake na nafsi yake usawajika.
Tokea 2014- 2023 ni miaka 9 imekatika wale walioingia gerezani kwa tuhuma ya kesi za ugaidi sasa wameachiwa huru kabisa.
Nashukuru kwanza kwa jamaa kuachiwa ila bado nabaki na maswali maana kesi au matatizo yanamkuta mtu yoyote yule.
Wapo ambao sio watumia bangi lakini washawahi kukamatwa na kukutwa na kesi za bangi. Maswali ninayojiuliza mda huu;
1. Huyu mtu aliyefungwa miaka 9 akifika nyumbani kwake anaanza vipi kutengeneza uhusiana wake na mtoto wake (Kwa sababu malezi yanahitaji wazazi wawili). Mtoto anamtafsiri vipi baba yake ?
2. Huyu mtu kabla ya tuhuma labda alikuwa na biashara zake atajisikia vipi akifika nyumbani akikuta hakuna kitu kabisa (kuanza mmoja)?
3. Vipi mkewe kipenzi aliyemuacha miaka 9 nyuma bado anamsubiri yeye tu arudi maisha yaendelee au kashaolewa na mwanaume mwengine?
4. Serikali unamuacha acha vipi huyu mtu ambaye ana hatia wanamuachia kwa kauli yupo huru tu au kuna chochote kitu anapewa kimsogeze kimaisha?
Tujadilini kwa pamoja.