Furaha kutoka Gerezani, huzuni kufika Nyumbani

Furaha kutoka Gerezani, huzuni kufika Nyumbani

Alaaniwe k
Baada ya kuiona habari hii nikaona acha nivae uhusika. Ya watuhumiwa wa ugaidi kuachiwa huru baada ya miaka tisa ( 2014-2023).

View attachment 2660266

Katika hali ya kawaida tu mtu anapotoka kwenye matatizo basi roho yake na nafsi yake usawajika.

Tokea 2014- 2023 ni miaka 9 imekatika wale walioingia gerezani kwa tuhuma ya kesi za ugaidi sasa wameachiwa huru kabisa.

Nashukuru kwanza kwa jamaa kuachiwa ila bado nabaki na maswali maana kesi au matatizo yanamkuta mtu yoyote yule.

Wapo ambao sio watumia bangi lakini washawahi kukamatwa na kukutwa na kesi za bangi. Maswali ninayojiuliza mda huu;
1. Huyu mtu aliyefungwa miaka 9 akifika nyumbani kwake anaanza vipi kutengeneza uhusiana wake na mtoto wake (Kwa sababu malezi yanahitaji wazazi wawili). Mtoto anamtafsiri vipi baba yake ?

2. Huyu mtu kabla ya tuhuma labda alikuwa na biashara zake atajisikia vipi akifika nyumbani akikuta hakuna kitu kabisa (kuanza mmoja)?

3. Vipi mkewe kipenzi aliyemuacha miaka 9 nyuma bado anamsubiri yeye tu arudi maisha yaendelee au kashaolewa na mwanaume mwengine?

4. Serikali unamuacha acha vipi huyu mtu ambaye ana hatia wanamuachia kwa kauli yupo huru tu au kuna chochote kitu anapewa kimsogeze kimaisha?

Tujadilini kwa pamoja.
Ikwete na shein mie ni muislamu ila hao wapumbavu walaaniwe
 
Vp mum
Hao majaa walioachiwa ni hatari kwa ambao hamuwajui walisambaa nchi nzima walikuwepo tanga arusha zanzbar bagamoyo.... kikwete alishtuka too late hela zao walikuwa wanatoa kuwait...

Hadi kikwete kuwafunga aliona mengi narudia mengi mno

Hawa wanaachiwa serikali iwe makini nao sana watu wa usalama wa wajua vizuri sana hao watu. Mama samia akiendelea kucheza nao atashangaa
E wenu mackezie angekuwa muislamu je?
 
Hao majaa walioachiwa ni hatari kwa ambao hamuwajui walisambaa nchi nzima walikuwepo tanga arusha zanzbar bagamoyo.... kikwete alishtuka too late hela zao walikuwa wanatoa kuwait...

Hadi kikwete kuwafunga aliona mengi narudia mengi mno

Hawa wanaachiwa serikali iwe makini nao sana watu wa usalama wa wajua vizuri sana hao watu. Mama samia akiendelea kucheza nao atashangaa
Kila ubaya utakaomtendea mwenzako, kumbuka utalipwa hapahapa duniani
 
Ni jambo la kushukuru Mungu wametoka hayo mengine yataeleweka mbele kwa mbele ,kuna wengine wamepigwa life sentence bila hatia
 
Baada ya kuiona habari hii nikaona acha nivae uhusika. Ya watuhumiwa wa ugaidi kuachiwa huru baada ya miaka tisa ( 2014-2023).

View attachment 2660266

Katika hali ya kawaida tu mtu anapotoka kwenye matatizo basi roho yake na nafsi yake usawajika.

Tokea 2014- 2023 ni miaka 9 imekatika wale walioingia gerezani kwa tuhuma ya kesi za ugaidi sasa wameachiwa huru kabisa.

Nashukuru kwanza kwa jamaa kuachiwa ila bado nabaki na maswali maana kesi au matatizo yanamkuta mtu yoyote yule.

Wapo ambao sio watumia bangi lakini washawahi kukamatwa na kukutwa na kesi za bangi. Maswali ninayojiuliza mda huu;
1. Huyu mtu aliyefungwa miaka 9 akifika nyumbani kwake anaanza vipi kutengeneza uhusiana wake na mtoto wake (Kwa sababu malezi yanahitaji wazazi wawili). Mtoto anamtafsiri vipi baba yake ?

2. Huyu mtu kabla ya tuhuma labda alikuwa na biashara zake atajisikia vipi akifika nyumbani akikuta hakuna kitu kabisa (kuanza mmoja)?

3. Vipi mkewe kipenzi aliyemuacha miaka 9 nyuma bado anamsubiri yeye tu arudi maisha yaendelee au kashaolewa na mwanaume mwengine?

4. Serikali unamuacha acha vipi huyu mtu ambaye ana hatia wanamuachia kwa kauli yupo huru tu au kuna chochote kitu anapewa kimsogeze kimaisha?

Tujadilini kwa pamoja.
4. Serikali unamuacha acha vipi huyu mtu ambaye ana hatia wanamuachia kwa kauli yupo huru tu au kuna chochote kitu anapewa kimsogeze kimaisha? Wewe nani amekuambia huyo mtu ana hatia? Mahakama haikuwahi kuwaona wana hatia.
 
Baada ya kuiona habari hii nikaona acha nivae uhusika. Ya watuhumiwa wa ugaidi kuachiwa huru baada ya miaka tisa ( 2014-2023).

View attachment 2660266

Katika hali ya kawaida tu mtu anapotoka kwenye matatizo basi roho yake na nafsi yake usawajika.

Tokea 2014- 2023 ni miaka 9 imekatika wale walioingia gerezani kwa tuhuma ya kesi za ugaidi sasa wameachiwa huru kabisa.

Nashukuru kwanza kwa jamaa kuachiwa ila bado nabaki na maswali maana kesi au matatizo yanamkuta mtu yoyote yule.

Wapo ambao sio watumia bangi lakini washawahi kukamatwa na kukutwa na kesi za bangi. Maswali ninayojiuliza mda huu;
1. Huyu mtu aliyefungwa miaka 9 akifika nyumbani kwake anaanza vipi kutengeneza uhusiana wake na mtoto wake (Kwa sababu malezi yanahitaji wazazi wawili). Mtoto anamtafsiri vipi baba yake ?

2. Huyu mtu kabla ya tuhuma labda alikuwa na biashara zake atajisikia vipi akifika nyumbani akikuta hakuna kitu kabisa (kuanza mmoja)?

3. Vipi mkewe kipenzi aliyemuacha miaka 9 nyuma bado anamsubiri yeye tu arudi maisha yaendelee au kashaolewa na mwanaume mwengine?

4. Serikali unamuacha acha vipi huyu mtu ambaye ana hatia wanamuachia kwa kauli yupo huru tu au kuna chochote kitu anapewa kimsogeze kimaisha?

Tujadilini kwa pamoja.
Kuwakamata na kuwapa kesi ya ugaidi ni kitendo cha kigaidi pia

Inajulikana walikamatwa miaka 9 iliyopita na aliyekuwepo madarakani aliweza kutathmini kama kweli wana makosa au wamebambikizwa tu.

Kesi ya Mbowe ilionekana ya kubumba tangu awali na sasa aliachiwa kwa Nole Prosecution ambapo mwenye mamlaka ya juu dhidi ya DPP ni incumbet pekee.

Tuwaombee hawa wazee walioachiwa wapate rehema za Mungu. Kila mwenye nia njema anaweza kuona utaratibu wa kiwasaidia kuanza upya maisha baada ya kutiliwa nuksi na serikali yao wenyewe
 
Biashara zitakuwa hazipo tena.

Watoto huwa flexible hawana shida, baba ni baba tu.

Mke atakuwa aliishaolewa zamani. Wenzetu siyo wapamnanaji, wamezoea kutunzwa
 
Walifungwa na mahakama mkuu.

Kiongozi mkuu wa serikali hana mamlaka ya kuiingilia mahakama
Hawajawahi kufungwa walishikiliwa mahabusu bila kushtakiwa kwa miaka 8 toka 2014 hadi 2022 ndiyo wakafunguliwa mashtaka hata hivyo serikali ilishindwa kuthibitisha tuhuma zao ndiyo mahakama ikawaachia huru.
 
Dah namuona abdul hapo na sheikh jafar Lema(imam wa msjid quba wakati huo)

Jafar Lema anatoka hamkuti tena baba ake sheikh Hashim Lema ambaye alipambana mno hadi mauti yake kumnusuru kijana wake na gereza.
 
What really happened? Maana kukaa miaka yote hiyo, either utatoka na kuwa mtu mwema na mcha Mungu sana, au mtu wa hovyo kupindukia. Inategemea sana na nini kilijaza akili za mtu kwa miaka yote hiyo
Lakini hapo chenye asilimia kubwa kutengenezeka ni mtu wa ovyo coz mazingira ya magereza hayamtenemgezi mfungwa kuwa mtu mwema bali mfungwa anaonekana kama mtu asiyefaa kabisa
 
Inabidi afungue kesi ya kudai fidia ambapo atatakiwa kuthibitisha mapato yake kwa mwezi yalikuwa Tsh ngapi.
Akishindwa kuthibitisha basi serikali itatakiwa kumlipa kima cha chini cha mshahara ambacho nadhani kwa sasa ni Tsh 370K kwa miezi yote aliyokaa ndani plus severence pay, kiasi ambacho hakimu ataamua kama atakavyo ona inafaa.
Mfano hakimu anaweza akampa severence pay ya Tsh milioni sitini na tano ili kumfidia kwa nguvu alizopoteza kifungoni ambazo zingemuwezesha kujenga nyumba ya Tsh mil 50 na kununua chombo cha usafiri chenye thamani ya Tsh milioni 15.
In total, kwa hesabu za haraka mtu wa aina hii atatakiwa alipwe jumla ya Tsh milioni 110 au viwango vingine vitakavyo amuliwa na mahakama endapo atashinda kesi.
Kweli kabisa anatakiwa kudai fidia lakini kesi ya fidia mkuu unachukua mda mrefu sana huyu mtu katoka gerezani juzi tu anapata wapi pesa ya kumlipa wakili.

Na upande wengine ukidai fidia leo hii basi utachukua mda mref sana.

Eg: marehem babu yang alikuwa anapiga kazi kwenye EAC iliyojinjika 1977 . Fidia ilitoka mwaka 1979 lakini babu fidia kaipata 2015 ... Sasa just imagine 1977 alikuwa na miaka 56 mpaka 2015 atakuwa na miaka mingapi

Mfumo wenyewe binafsi ulitakiwa kumlinda raia.
 
Waanze upya tu mbona baba yangu mdogo alianza upya na mke mpya kila kitu kipya sasa hi ni kama miaka 18 tangu atoke anamiliki vitu vya maana almost kila kitu kwa sasa anacho pesa ipo anaheshimika kila sehemu. Akifika sehemu hata kama viti vimeisha watu wanaangaika apate special seat eg kwenye masherehe.

Waanze upya la muhimu wana afya.
Kuanza upya sio tatizo.

Lakini pia usimfananishe ndugu yako na mtu mwengine.

Coz inawezekana ndugu yako alishikwa mkono na familia. Kuna watu hawana watu wa kuwashika mikono.

Kabla ya kukamatwa inawezakana wao ndo walikuwa wanahudumia familia zao.
 
mwaka 2012-14 ilikua ni miongoni mwa miaka mibaya sana Arusha, vijana wengi walikamatwa kwa kuhisiwa ni magaidi na mmoja ninae mfahamu aliuwawa kwa kupigwa risasi wakisema alijaribu kutoroka akiwa anatoka mahakamani kurudishwa mahabusu gerezani

jamaa alikua mtu poa sana alikua ni brother kitaa nafikiri kupenda kwake mazoezi ilimfanya watu waende kutoa taarifa za uongo /za hisia ya ugaidi

Naandika hapa kama kumbukumbu utakuja kukumbuka...
Wanaofanya huu mchezo WA kulipua makanisa ili waislam Wengi wakamatwe watafanya tena....
Hiyo script huwa ina kawaida ya kujirudia...kila mara hasa Rais akiwa muislam ...ni set up..
Ingekuwa nchi zenye advanced investigation wangekamatwa na tungeshangaa dini zao halisi ..
 
Naandika hapa kama kumbukumbu utakuja kukumbuka...
Wanaofanya huu mchezo WA kulipua makanisa ili waislam Wengi wakamatwe watafanya tena....
Hiyo script huwa ina kawaida ya kujirudia...kila mara hasa Rais akiwa muislam ...ni set up..
Ingekuwa nchi zenye advanced investigation wangekamatwa na tungeshangaa dini zao halisi ..
Kiufup ili aya matukio yafe kwanza inatakiwa kuua iki kitu cha kuchanganya " DINI NA SIASA"
 
Back
Top Bottom