Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
- Thread starter
-
- #21
Inshu hakuna utekelezaji wa sheria hii.mwaka 2012-14 ilikua ni miongoni mwa miaka mibaya sana Arusha, vijana wengi walikamatwa kwa kuhisiwa ni magaidi na mmoja ninae mfahamu aliuwawa kwa kupigwa risasi wakisema alijaribu kutoroka akiwa anatoka mahakamani kurudishwa mahabusu gerezani
jamaa alikua mtu poa sana alikua ni brother kitaa nafikiri kupenda kwake mazoezi ilimfanya watu waende kutoa taarifa za uongo /za hisia ya ugaidi
Hamna bana. The enemy of islam are muslims themselves. Muslims like to hate and kill each othres.Walifungwa na mahakama mkuu.
Kiongozi mkuu wa serikali hana mamlaka ya kuiingilia mahakama
mwaka 2012-14 ilikua ni miongoni mwa miaka mibaya sana Arusha, vijana wengi walikamatwa kwa kuhisiwa ni magaidi na mmoja ninae mfahamu aliuwawa kwa kupigwa risasi wakisema alijaribu kutoroka akiwa anatoka mahakamani kurudishwa mahabusu gerezani
jamaa alikua mtu poa sana alikua ni brother kitaa nafikiri kupenda kwake mazoezi ilimfanya watu waende kutoa taarifa za uongo /za hisia ya ugaidi
Hao majaa walioachiwa ni hatari kwa ambao hamuwajui walisambaa nchi nzima walikuwepo tanga arusha zanzbar bagamoyo.... kikwete alishtuka too late hela zao walikuwa wanatoa kuwait...
Hadi kikwete kuwafunga aliona mengi narudia mengi mno
Hawa wanaachiwa serikali iwe makini nao sana watu wa usalama wa wajua vizuri sana hao watu. Mama samia akiendelea kucheza nao atashangaa
Hilo naweza nikakubaliana na wewe maana adui wa mtu ni mtu.Hamna bana. The enemy of islam are muslims themselves. Muslims like to hate and kill each othres.
UNABISHA?
CARDLESS
Ndio maana wengi wanafanya matukio ili warudi tena gerezani mtaani mambo magumu.Baada ya kuiona habari hii nikaona acha nivae uhusika. Ya watuhumiwa wa ugaidi kuachiwa huru baada ya miaka tisa ( 2014-2023).
View attachment 2660266
Katika hali ya kawaida tu mtu anapotoka kwenye matatizo basi roho yake na nafsi yake usawajika.
Tokea 2014- 2023 ni miaka 9 imekatika wale walioingia gerezani kwa tuhuma ya kesi za ugaidi sasa wameachiwa huru kabisa.
Nashukuru kwanza kwa jamaa kuachiwa ila bado nabaki na maswali maana kesi au matatizo yanamkuta mtu yoyote yule.
Wapo ambao sio watumia bangi lakini washawahi kukamatwa na kukutwa na kesi za bangi. Maswali ninayojiuliza mda huu;
1. Huyu mtu aliyefungwa miaka 9 akifika nyumbani kwake anaanza vipi kutengeneza uhusiana wake na mtoto wake (Kwa sababu malezi yanahitaji wazazi wawili). Mtoto anamtafsiri vipi baba yake ?
2. Huyu mtu kabla ya tuhuma labda alikuwa na biashara zake atajisikia vipi akifika nyumbani akikuta hakuna kitu kabisa (kuanza mmoja)?
3. Vipi mkewe kipenzi aliyemuacha miaka 9 nyuma bado anamsubiri yeye tu arudi maisha yaendelee au kashaolewa na mwanaume mwengine?
4. Serikali unamuacha acha vipi huyu mtu ambaye ana hatia wanamuachia kwa kauli yupo huru tu au kuna chochote kitu anapewa kimsogeze kimaisha?
Tujadilini kwa pamoja.
What really happened? Maana kukaa miaka yote hiyo, either utatoka na kuwa mtu mwema na mcha Mungu sana, au mtu wa hovyo kupindukia. Inategemea sana na nini kilijaza akili za mtu kwa miaka yote hiyoSipingani na wewe kuwa wanaishi kiimani sana lakini dakika ya mwisho na wao ni binadamu kama binadamu wengine.
Hawa watu wasipowezeshwa na kuwekwa sawa kisaikolojia wanaweza kupiga tukio la kweli kama la mwanzo lilikuwa ni tuhuma hewa tu
Umejibu sahihi kwa staha na hekima.Hilo naweza nikakubaliana na wewe maana adui wa mtu ni mtu.
Lakini nikija kwenye uhalisia siwezi nikasema adui wa muislam aliyeenda gerezan alikuwa ni muislam coz sijui inshu nzima ilikuwaje mpaka jamaa wakakamatwa
Hii sio Kenya,,Hiyo sheria ya ugaidi ni miongoni mwa sheria ovu.. ililenga kuua uislamu...
Mauaji aliyofanya Mackenzie pale Kenya angekuwa amefanya shekh yqngetambuliwa na Dunia nzima km ugaidi.
Inauma sana hasa inapokuwa ulifungwa kwa kesi ya kusingiziwa. Unaanza maisha upya kabisa kama mtoto yaani.....dah!!!Hua wanaachwa hivo hivo tu bila chchte hata uwe umekaa 20yrs unarudi zako kaanza A
Kuna mdogo wake na rafik angu mtaa mmoja.....mwaka 2012-14 ilikua ni miongoni mwa miaka mibaya sana Arusha, vijana wengi walikamatwa kwa kuhisiwa ni magaidi na mmoja ninae mfahamu aliuwawa kwa kupigwa risasi wakisema alijaribu kutoroka akiwa anatoka mahakamani kurudishwa mahabusu gerezani
jamaa alikua mtu poa sana alikua ni brother kitaa nafikiri kupenda kwake mazoezi ilimfanya watu waende kutoa taarifa za uongo /za hisia ya ugaidi
Yaani dah, nikijaribu kuvaa hiko kiatu mpaka natetemeka.Baada ya kuiona habari hii nikaona acha nivae uhusika. Ya watuhumiwa wa ugaidi kuachiwa huru baada ya miaka tisa ( 2014-2023).
View attachment 2660266
Katika hali ya kawaida tu mtu anapotoka kwenye matatizo basi roho yake na nafsi yake usawajika.
Tokea 2014- 2023 ni miaka 9 imekatika wale walioingia gerezani kwa tuhuma ya kesi za ugaidi sasa wameachiwa huru kabisa.
Nashukuru kwanza kwa jamaa kuachiwa ila bado nabaki na maswali maana kesi au matatizo yanamkuta mtu yoyote yule.
Wapo ambao sio watumia bangi lakini washawahi kukamatwa na kukutwa na kesi za bangi. Maswali ninayojiuliza mda huu;
1. Huyu mtu aliyefungwa miaka 9 akifika nyumbani kwake anaanza vipi kutengeneza uhusiana wake na mtoto wake (Kwa sababu malezi yanahitaji wazazi wawili). Mtoto anamtafsiri vipi baba yake ?
2. Huyu mtu kabla ya tuhuma labda alikuwa na biashara zake atajisikia vipi akifika nyumbani akikuta hakuna kitu kabisa (kuanza mmoja)?
3. Vipi mkewe kipenzi aliyemuacha miaka 9 nyuma bado anamsubiri yeye tu arudi maisha yaendelee au kashaolewa na mwanaume mwengine?
4. Serikali unamuacha acha vipi huyu mtu ambaye ana hatia wanamuachia kwa kauli yupo huru tu au kuna chochote kitu anapewa kimsogeze kimaisha?
Tujadilini kwa pamoja.
Mkuu na ukweli ni huu makanisa yalichomwa moto na wale mapadri waliowauwa Zanzibar.Hao majaa walioachiwa ni hatari kwa ambao hamuwajui walisambaa nchi nzima walikuwepo tanga arusha zanzbar bagamoyo.... kikwete alishtuka too late hela zao walikuwa wanatoa kuwait...
Hadi kikwete kuwafunga aliona mengi narudia mengi mno
Hawa wanaachiwa serikali iwe makini nao sana watu wa usalama wa wajua vizuri sana hao watu. Mama samia akiendelea kucheza nao atashangaa
Don't take it easy because your uncle made it. Inaumiza sana psychologicallyWaanze upya tu mbona baba yangu mdogo alianza upya na mke mpya kila kitu kipya sasa hi ni kama miaka 18 tangu atoke anamiliki vitu vya maana almost kila kitu kwa sasa anacho pesa ipo anaheshimika kila sehemu. Akifika sehemu hata kama viti vimeisha watu wanaangaika apate special seat eg kwenye masherehe.
Waanze upya la muhimu wana afya.
Brother we Acha tu hapo kwenye picha kuna rafiki yangu aise. Jamaa alikuwa mtu wa imani sana kuna wakati nadhani alikuwa anaswalisha msikiti wa kilombero sokoni, Arusha.. na alikuwa mfanyakazi wa serikali. Bora kwenda ulaya ukaacha familia Tz maana wanajuwa utarudi lakini sio kwenda jela, unarudi unakuta mkeo kazalishwa na jamaa yako aliyekuwa anapeleka unga na ada ya watoto. Mbaya zaidi unakuta mkeo kanenepa na kawa mweupe pee na elimu kajiendeleza na kiingereza anaongea. Haya maisha tumuombe sana Mungu atupe mwisho mwemamwaka 2012-14 ilikua ni miongoni mwa miaka mibaya sana Arusha, vijana wengi walikamatwa kwa kuhisiwa ni magaidi na mmoja ninae mfahamu aliuwawa kwa kupigwa risasi wakisema alijaribu kutoroka akiwa anatoka mahakamani kurudishwa mahabusu gerezani
jamaa alikua mtu poa sana alikua ni brother kitaa nafikiri kupenda kwake mazoezi ilimfanya watu waende kutoa taarifa za uongo /za hisia ya ugaidi