Fursa/ kazi watu wanapiga pesa ndefu na hazijastukiwa na wengi

Bajeti yake ikoje mkuu?
 
Ulivyosema uko sahihi sana lakini haujawambia factors na strategies mhimu zakuchochea unayoyasema yaweze kutimia pia usisahau biashara zina changamoto nyingi saaana sanaaa (nizigawe kwenye makundi makuu matatu) changamoto za kimfumo, ki jamii/kitamaduni pamoja na sababu za kiuchumi.
 
Tatizo wanakadilia kazi za watu Kwa macho,na kama huyo jamaa anabisha kiufupi either ni mjuaji au haujuwi mtaa vizuri kwaiyo hiyo laki2 Kwa siku anaona hela nyingi sana
 
Tatizo wanakadilia kazi za watu Kwa macho,na kama huyo jamaa anabisha kiufupi either ni mjuaji au haujuwi mtaa vizuri kwaiyo hiyo laki2 Kwa siku anaona hela nyingi sana
Ndo akili za Watanganyika wajinga
 
Chai
 
Jamaa anafanya mchezo na income ya 200k per day tena kwa fundi simu
Fundi tu wa kawaida hakosi elfu 30-50 sembuse fundi aliyebobea wa Kkoo.
Kutoa frp tu kwa baadhi ya simu inafika mpaka elfu 50 na hiyo simu moja, mpaka jioni amehudumia ngapi?

Na simu nyingi zinazopelekwa kwa mafundi wa Kkoo huko mtaani wamezishindwa hivyo zikifika Kkoo bei zake zinakuwa zimechangamka
 
Wako Watanganyika humu wanabisha tu
 
kwa income ya 200k per day akifanya siku 360×200k=72M per year So akifanya kazi 10yrs ana 720M hahaha
 
kwa income ya 200k per day akifanya siku 360×200k=72M per year So akifanya kazi 10yrs ana 720M hahaha
Anapata usiwe mbishi mkuu, mbona ni mkwanja wa kawaida
Huyu akipata wateja wa vioo wanne tu
Kila kioo apige zake haya 20%
Betri, system charge na magonjwa mengine
Kijana hapo Kariakoo ana maabara yake ya kuchunguza simu
Na anaishi good tu
Ana mjengo Goba na Ndinga anasukuma
 
Ausiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…