Fursa/ kazi watu wanapiga pesa ndefu na hazijastukiwa na wengi

Fursa/ kazi watu wanapiga pesa ndefu na hazijastukiwa na wengi

8 ulinzi
Kama una uweZo wa kumiliki kampuni ya ulinzi
Watu wanahitaji usalama, hapa utapiga pesa
Kama hauna uwezo wa kumiliki kampuni.. kuwa mlinzi halali alafu ichomee kampuni kwa mteja abakiwe na alarm system alafu wewe uwe koro wake ila hakikisha mteja anakukubali sana na upoteyari kufa kiakili wakati wowote hupaswi kuogopa kifo amini kifo ni kulala kama tunavyolala tuu . Ile hela mteja anaipa kampuni ya ulinzi ipunguze kidogo akupe wewe kama 700k hivi alafu tafuta shift moja ukae kama anataka wa usiku kaa usiku kama ni wa mchana kaa mchana kula 700 yako polepole


Ukitoka hapo nenda kawe private security mahali pengine kwa shift nyingine kula tena 700k. Mwisho wa mwezi unakua na 1.4M bila kutumia nguvu yeyote ile . Alafu waache watu wakutukane mtaani kuwa wewe ni mlinzi

--- kama anataka zaidi ya askari mmoja hapo unatumia akili . Na ukicheza vizuri unakua security manager unapokea 1.5M, kwa makampuni makubwa unakula hadi 2M na kuendelea kwa mwezi na upo free kufanya mambo yako hapo unakua unawaachia ma internal security wafanye kazi yao



Nb.. wateja tunalipa kampuni za ulinzi zaidi ya 1.2M kwa mwezi kwa askari mmoja hapo hujaweka alarm system. VIJANA ULINZI UNALIPA TOKENI MAGETONI WAKO WASOMI WANALINDA HUKU KWA FORMULA HIYO NATUA WAPA HIZO HELA
 
Kama hauna uwezo wa kumiliki kampuni.. kuwa mlinzi halali alafu ichomee kampuni kwa mteja abakiwe na alarm system alafu wewe uwe koro wake ila hakikisha mteja anakukubali sana na upoteyari kufa kiakili wakati wowote hupaswi kuogopa kifo amini kifo ni kulala kama tunavyolala tuu . Ile hela mteja anaipa kampuni ya ulinzi ipunguze kidogo akupe wewe kama 700k hivi alafu tafuta shift moja ukae kama anataka wa usiku kaa usiku kama ni wa mchana kaa mchana kula 700 yako polepole


Ukitoka hapo nenda kawe private security mahali pengine kwa shift nyingine kula tena 700k. Mwisho wa mwezi unakua na 1.4M. Alafu waache watu wakutukane mtaani kuwa wewe ni mlinzi

--- kama anataka zaidi ya askari mmoja hapo unatumia akili . Na ukicheza vizuri unakua security manager unapokea 1.5M kwa mwezi kwa kampuni ndogo na upo free kufanya mambo yako.



Nb.. wateja tunalipa kampuni za ulinzi zaidi ya 1.2 M kwa askari mmoja hapo hujaweka alarm system. VIJANA ULINZI UNALIPA TOKENI MAGETONI WAKO WASOMI WANALINDA HUKU KWA FORMULA HIYO NATUA WAPA HIZO HELA
Asante mkuu umetuongezea kitu
Ila sijapenda sana hiyo kupigisha shot kampuni
Me naamini kwenye kupata kiungwana
 
Asante mkuu umetuongezea kitu
Ila sijapenda sana hiyo kupigisha shot kampuni
Me naamini kwenye kupata kiungwana
Mkuu ukiwa sana mtakatifu hautokaa ufanikiwe hapa duniani . Makampuni ya ulinzi yanapiga sana hela na mastaff wanakula anasa huku wakiwaacha vijana bila maji ya kunywa malindoni.. ukiwa koro jitose mteja akuelewe alafu pigisha short mzee ibaki alarm systeam tuu ili kikiumana upate msaada haraka
 
Mkuu ukiwa sana mtakatifu hautokaa ufanikiwe hapa duniani . Makampuni ya ulinzi yanapiga sana hela na mastaff wanakula anasa huku wakiwaacha vijana bila maji ya kunywa malindoni.. ukiwa koro jitose mteja akuelewe alafu pigisha short mzee ibaki alarm systeam tuu ili kikiumana upate msaada haraka
Naheshimu mawazo yako
 
Mpishi kulipwa milioni 10 ni maajabu ya dunia. Tumsamehe huyu jomba kwa sababu ana stress iliyoambatana na hasira kali. Tumpe muda atakuwa sawa.
Sasa wewe chawa upo Lumumba unaimba iyena iyena, utajulia wapi code za mtaa
Akili zako ni kumtukuza binadamu mwenzako upo ili ulipiwe ada za watoto

Yaani huamini kama Kuna chefs wanalipwa million 10 tena hapa Tanzania?
 
Sasa wewe chawa upo Lumumba unaimba iyena iyena, utajulia wapi code za mtaa
Akili zako ni kumtukuza binadamu mwenzako upo ili ulipiwe ada za watoto

Yaani huamini kama Kuna chefs wanalipwa million 10 tena hapa Tanzania?
Mambo ya kiimani mwachie Mwamposa. Hapa tunaongelea uhalisia on the ground.
 
Mambo ya kiimani mwachie Mwamposa. Hapa tunaongelea uhalisia on the ground.
Nakwambia hao chefs wapo
Wanalipwa hiyo pesa tena Tanzania na baadhi ni marafiki zangu
Sasa ndo nakwambia katika department zinazolipwa pesa nyingi kwenye hotels za five stars ni chefs
Nenda migodini au Hyatt uulizie chef anavuta bei gani
Unabwabwaja hapa hujui kitu, unabisha tu
 
Nakwambia hao chefs wapo
Wanalipwa hiyo pesa tena Tanzania na baadhi ni marafiki zangu
Sasa ndo nakwambia katika department zinazolipwa pesa nyingi kwenye hotels za five stars ni chefs
Nenda migodini au Hyatt uulizie chef anavuta bei gani
Unabwabwaja hapa hujui kitu, unabisha tu
😄😄😄😄 You will be fine! You will be fine!...
 
biashara yyte inalipa kuringana na uhitaji wa wateja
Ulichokiandika kinaweza lipa km utapata waitaji wateja ila km hamna waitaji bas ni fair busness idea km zilivyo zingne
 
humu masikini ni wengi sana ndio maana kila kitu kwao hakiwezekani... vijana amkeni achanani na matajiri wa mtandaoni wakina godlove, diamond, harmonize etc. hao wengi wao hawana hela wenye pesa wengi hawana kelele mtaani kuna siri nzito na watu wanapiga hela kimya kimya bila kelele.
 
humu masikini ni wengi sana ndio maana kila kitu kwao hakiwezekani... vijana amkeni achanani na matajiri wa mtandaoni wakina godlove, diamond, harmonize etc. hao wengi wao hawana hela wenye pesa wengi hawana kelele mtaani kuna siri nzito na watu wanapiga hela kimya kimya bila kelele.
Masikini wa humu wanashangaza
Yaani mtu anabisha kitu na hakijui
 
Kilimo cha matikiti 🤣

Ilaa business inayohusisha tumbo/ msosi haiangushi bana.
Mama ntilie wengi wangekuwa wanamiliki hotel kubwakubwa. Kuna mtu anaanzia biashara ya mama ntilie hadi anazeekeapo. Labda saaana maendeleo yake yanakuwa kuhama eneo' na wengine biashara hufa kabisa.

Kila biashara unayoona imemtajirisha mtu' kuna mtu aliifanya na akashindwa. Uliza wanunuzi wa dhahabu
 
Back
Top Bottom