Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Wapumbavu wengi huwa hamtaki kuambiwa ukweli na kuishia kupigwa hata hicho kidogo mlicho nacho. Kama una hicho kimilioni 5 mkabidhi Mshana ukapige picha Guangzhou na Yiwu kisha urudi hapa kulia huna kitu.Jina lako tuu linaakisi mawazo yako mgando. Boresha wazo sio kuli crash kwa fikra zenu za kimasikini.
Mnafurahia sana mazoea yenu ya kutaka umasikini ili mnunulike.
Ni jambo jema sana mradi tu isije ikawa nafuu ni aghari, tunauza viwanja Bagamoyo malipo ni kulingana na uwezo wako baada ya malipo ya awali.Kutakuwa na safari ya kibiashara kwa wajasiriamali wenye mitaji kidogo nchini China mji wa YI WU mwezi wa tatu mwaka huu wa 2024 tarehe kumi hivi
Safari itakuwa ya pamoja kwa watu wasiopungua 10 na wasiozidi 20.. Faida ya safari hii ya pamoja
pp
Hivi kwanini umekuwa so negative kwenye hii mada? Una agenda yoyote ya siri? Hakuna niliposema watu wanikabidhi pesa zao mbona?Wapumbavu wengi huwa hamtaki kuambiwa ukweli na kuishia kupigwa hata hicho kidogo mlicho nacho. Kama una hicho kimilioni 5 mkabidhi Mshana ukapige picha Guangzhou na Yiwu kisha urudi hapa kulia huna kitu.
Gharama za safari za nje ziko wazi sanaNi jambo jema sana mradi tu isije ikawa nafuu ni aghari, tunauza viwanja Bagamoyo malipo ni kulingana na uwezo wako baada ya malipo ya awali.
Kaka mshana nahitaj Kazi ya Mali kauli,nipo Arusha Fremu IPO ila mzigo ndo sina
Gharama za viwanja ziko wazi sana na ofisi yetu ipo ghorofani.
Tuwasiliane usijaliKaka mshana nahitaj Kazi ya Mali kauli,nipo Arusha Fremu IPO ila mzigo ndo sina
OkayGharama za viwanja ziko wazi sana na ofisi yetu ipo ghorofani.
Mbona mimi nakuelewa sana mkuuPunguza ujuaji. Usidhani unachojua wewe wengine hawajui. Mimi naongelea uhalisia on the ground ulivyo na sio hizo stori za utafiti. Kijana kajibana 5m yake halafu aende kuzipoteza kwenye nauli na malazi ili tu kuiona China? Halafu akitoka China anaanza upya kutafuta mtaji. Mimi ninawasihi vijana wenye chini ya 5m waendelee kupambana mitaji ikue na huko China wataenda tu kilaini bila kujilazimisha.
Biashara without fixed address ni biashara aghari sana.
Tuwekee anuani ili tujue taratibu za ziada vinginevyo huenda tukapoteza mawasiliano kwani hatuwezi muda wote kuingia JF.
waiting...
Acha matusi mkuu.....hyo ni fursa ndani ya fursa,kuna watakao pata na watakao potezaWewe dogo una uqumma mwingi sana
Hivi mkuu kati ya biashara ya vipodozi na viatu ipi ina mzinguko mkubwa ukiachana na mambo ya locationImekaa vizuri sana
Maelezo yameshiba
Kwa walio serious hii ni Fursa ya uhakika
Mimi nimebugi juzi kati tu hapa nilikopa M 6 nikaishia kwenye pagara na nyingine nikaipiga chini ya pua kumbe ningejua ningesubiri niende China nirud na Viatu vya kike,flash,memory card,vifaa vidogovidogo vya kimachinga
Kwa wale mtakaofanikiwa kwenda muwe chachu mrudi na full info za kutuwezesha kipindi tunajitafuta za kuwekeza
Inshallah
So kulima tupige chini?🤣🤣Hahahaa, hapa bongo jau Sana. Twende huko tukafuate zile bidhaa, tukileta huku tunapiga hela balaa.
Ostadh acha uogaSisi waoga tunasubiri mrejesho kwanza