Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Tukiendelea kupiga soga nazani skolashipu zita kuja kutugongea mlango kijiweni, nyumbani, ktk IG ya mobeto, wema, diamond etc...

Chuki pia ninzuri ila iwe kwako binafsi hasa kwa umasikini wako, ili ikupe motisha kwa kile unacho kikosa... Ukikaa kuchukia walio abroad, walio ktk nyazifa ni kujipa misongo ya mawazo na kufa mapema

Tengeneza mikakati mizuri kufikia malengo yako...

Kuna skolashipu kwa nchi za afrika mashariki kila mwaka, na kwa sasa zipo wazi hivyo ni wewe binafsi kuzikimbilia...

Madubuasha ni mengi...
 

Kenya walikubalina na UK kupeleka wahudumu wa afya, hata madereva wanaweza wakaomba wawapelekee.

Balozi wetu afanye mpango vijana wa +255 waende wakaongeze nguvu kazi kwa malkia.

Yaani hili dili kwanza Nigeria wakilisikia wataomba kama wote. Maana yake hapa ukishachukuliwa kama dereva una uwezo wa kuomba visa ya mke na watoto.
Cc : Sky Eclat
Offshore Seamen
 
Mmmh! Huo uzi ni wakutafuta sana
 
Michongo imekuwa migumu sio bongo sio nje ..?
 
Michongo imekuwa migumu sio bongo sio nje ..?
Hapa ndio tatizo linapo anzia, scholarships zipo open za Japan, Korea, uholanzi, Singapore etc... Lakini watu wametulia...

Hapo mwezi wa kumi ndio balaa haswa, zina funguka za kutosha zikiongozwa na China...

Mataifa yanayo ongoza kuangaika nazo ni Pakistan na India na ukiingia ktk magroup yao ni balaa wana kupa ABC zote... Yani admn ndio ana onesha kwa vitendo...

Sijui sisi tuna taka nini???

Mtu pass hana
ID ya taifa hana
Recommendations letter hana
Language test hana (option)
Etc

Alafu ana taka kwenda kusoma!?

Labda usome hapa hapa...
 
Mkuu unaweza kutoa mwanga wa hayo magroup yanapopatikana either telegram au facebook.

Link kama ikikupendeza wakati zitakapofunguliwa.
Natanguliza shukrani.
 
Tunahitaji hizo fursa jmn
 
Ni kweli ni lazima ujitoe haswa nakujipambania kwasababu si jambo rahisi!
 
Hiyo link mr unatupatiaje wanaotaka tu join
 

Haya safari zimeiva, wanao baki bakini wanao enda ndio hao...

Kila MTU ana pambana kimya kimya hii ndio Tanzania aiseeee hahahahahaha
 
Tushee na wadogo zetu wasio na uwezo wakujisomesha bachelor/au ambao hajapata mkopo wa elimu.. hizi ni scholarship kwa developing countries...


Interested in Becoming a WMI Scholar?
Our Ideal Candidate – A student, male or female, from a country in the developing world who:

Successfully completed a secondary education, with good to excellent grades
Is 35 or under on March 1, 2022
Will be studying in his or her country or another country in the developing world*
Is pursuing his or her first bachelor’s degree or diploma
Will be enrolled in a program of study that will benefit the community and/or contribute to the continued growth and advancement of his or her home country
Plans to live and work in his or her own country after graduation
Has demonstrated his or her commitment to giving back and has volunteered prior to applying
May have some other funds available for his or her education, but will not be able to go to pursue his or her tertiary degree without financial assistance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…