Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Fursa za Nje ya Nchi: Scholarship (kusoma), Ajira/kujiajirina Biashara/kuwekeza

Tukiendelea kupiga soga nazani skolashipu zita kuja kutugongea mlango kijiweni, nyumbani, ktk IG ya mobeto, wema, diamond etc...

Chuki pia ninzuri ila iwe kwako binafsi hasa kwa umasikini wako, ili ikupe motisha kwa kile unacho kikosa... Ukikaa kuchukia walio abroad, walio ktk nyazifa ni kujipa misongo ya mawazo na kufa mapema

Tengeneza mikakati mizuri kufikia malengo yako...

Kuna skolashipu kwa nchi za afrika mashariki kila mwaka, na kwa sasa zipo wazi hivyo ni wewe binafsi kuzikimbilia...

Madubuasha ni mengi...
 
Source BBC14, July 2021

Uingereza inakabiliwa na uhaba wa madereva wa malori, upungufu uliopo ambao unahitaji kuzibwa haraka ni maderava 100,000.

Athari zilizotokea mpaka sasa ni Nandos kufunga baadhi ya migahawa yake wa kukosa malighafi.

Mc Donald kuacha kuuza milk shake kwa kukosa supply.

Iceland supermarket wanalazimika ku cancel mapokezi 30-40 kwa siku.

Break Points pia kando ya Barabara kubwa zinakabiliwa na uhaba wa petrol na diesel.

Riport ya bank Kuu paia inaonyesha maduka yanayouza furniture yameathirika sana kwa kukosa mali za kuwapelekea wateja hata za kuweka dukani.

Tatizo hili limesababishwa na Covid pandemic pia Uingereza kujitoa katika Jumuia ya Ulaya.

Kenya walikubalina na UK kupeleka wahudumu wa afya, hata madereva wanaweza wakaomba wawapelekee.

Balozi wetu afanye mpango vijana wa +255 waende wakaongeze nguvu kazi kwa malkia.

Yaani hili dili kwanza Nigeria wakilisikia wataomba kama wote. Maana yake hapa ukishachukuliwa kama dereva una uwezo wa kuomba visa ya mke na watoto.
Cc : Sky Eclat
Offshore Seamen
 
Uzi upo moto ila humu ndani kuna mwanajamvi alishawahi kutoa uzi flani hivi wa kwenda nje kihalalo na kirahisi kupitia kuomba kwenye website flani hivi nimezosahau majina ambapo utakuta watu wanatoa mialiko ya kwenda kuwasaidia kazi huku wew wakikupa hifadhi na chakula kwa muda husika
Mmmh! Huo uzi ni wakutafuta sana
 
Michongo imekuwa migumu sio bongo sio nje ..?
 
Michongo imekuwa migumu sio bongo sio nje ..?
Hapa ndio tatizo linapo anzia, scholarships zipo open za Japan, Korea, uholanzi, Singapore etc... Lakini watu wametulia...

Hapo mwezi wa kumi ndio balaa haswa, zina funguka za kutosha zikiongozwa na China...

Mataifa yanayo ongoza kuangaika nazo ni Pakistan na India na ukiingia ktk magroup yao ni balaa wana kupa ABC zote... Yani admn ndio ana onesha kwa vitendo...

Sijui sisi tuna taka nini???

Mtu pass hana
ID ya taifa hana
Recommendations letter hana
Language test hana (option)
Etc

Alafu ana taka kwenda kusoma!?

Labda usome hapa hapa...
 
Hapa ndio tatizo linapo anzia, scholarships zipo open za Japan, Korea, uholanzi, Singapore etc... Lakini watu wametulia...

Hapo mwezi wa kumi ndio balaa haswa, zina funguka za kutosha zikiongozwa na China...

Mataifa yanayo ongoza kuangaika nazo ni Pakistan na India na ukiingia ktk magroup yao ni balaa wana kupa ABC zote... Yani admn ndio ana onesha kwa vitendo...

Sijui sisi tuna taka nini???

Mtu pass hana
ID ya taifa hana
Recommendations letter hana
Language test hana (option)
Etc

Alafu ana taka kwenda kusoma!?

Labda usome hapa hapa...
Mkuu unaweza kutoa mwanga wa hayo magroup yanapopatikana either telegram au facebook.

Link kama ikikupendeza wakati zitakapofunguliwa.
Natanguliza shukrani.
 
KAMA KICHWA CHA UZI KINAVYOJIELEZA :

Karibu tuweze kushare fursa mbali mbali zinazopatikana nje ya mipaka ya nchi yetu ya TANZANIA.

Uzi huu ni maalumu kwa wote wenye roho nyeupe na mawazo chanya yatakayotuwezasha kuleta maendeleo katika nchi yetu..

kwa kuzifukuzia fursa nje ya nchi.

Tatizo la ajira kwa wahitimu wa fani mbali mbali kila siku linazidi kuongezeka,

hivyo basi ni vyema walau asilimia kadha kuangalia fursa nje ya mipaka ya Tz, kuliko wote " kukaa na kusikilizia mishe" au kusbiria ajira za serikalini.

Pia kwa wafanyabiashara wanaofikiria kukuza biashara zao kuexport na kuimport..

Wenye ndoto za kujiendeleza kimasomo ngazi za juu nchi za ulaya, marekani etc... kutafuta exposure na kadhalika..

Wale wa taloi walioizunguka hii dunia pia mnaweza kutupa mawili matatu,

kutokana na experience yenu na ni namna gani inaweza kumsaidia na MTanzania ambaye ana ndoto za kufanikisha moja ya mambo niliorodhesha kwenye kichwa cha uzi hapo juu..

Karibu!

View attachment 1889729

View attachment 1889731

View attachment 1889733
Tunahitaji hizo fursa jmn
 
Hapa ndio tatizo linapo anzia, scholarships zipo open za Japan, Korea, uholanzi, Singapore etc... Lakini watu wametulia...

Hapo mwezi wa kumi ndio balaa haswa, zina funguka za kutosha zikiongozwa na China...

Mataifa yanayo ongoza kuangaika nazo ni Pakistan na India na ukiingia ktk magroup yao ni balaa wana kupa ABC zote... Yani admn ndio ana onesha kwa vitendo...

Sijui sisi tuna taka nini???

Mtu pass hana
ID ya taifa hana
Recommendations letter hana
Language test hana (option)
Etc

Alafu ana taka kwenda kusoma!?

Labda usome hapa hapa...
Ni kweli ni lazima ujitoe haswa nakujipambania kwasababu si jambo rahisi!
 
Nyingi zina wapa kipaumbele waajiriwa wa serikali kuna Hungary, orange huko Holland etc...

Na hasa zinazo pitia ktk mamlaka za serikali... Na hata ambazo hazipitii huko, kwa mfano za ubalozi etc

Kuzipata ni kusoma vigezo na kujua muda wa kutuma maombi...

Pia jifunze lugha za mataifa husika ina saidia, wachina wamechukua wengine kupitia program ya kufundisha kichina ktk vyuo vyetu, wakorea etc...

Kuna fellowships pia...

Mambo ni mengi pambania jifunze kitu kipya, hakuna linalo shindikana...

************************

Kuna magroup mbalimbali huko duniani kwa ajiri ya kusaidiana kupeana mwangaza, ukiona mtz mwenzio ana bana Basi ingia kwa wahindi, Pakistan hawa watu wana saidiana sana sana na wanaingia ulaya kwa wing mno...

Akili kumkichwa....

Check hapa tume kutana watu kutoka mataifa mbalimbali... Watu wenye njaa, hapa thread kupata mrejesho utakesha, tuchangamkie technology



Elon Musk says we need universal basic income because 'in the future, physical work will be a choice'

View attachment 1900661

View attachment 1900662
Hiyo link mr unatupatiaje wanaotaka tu join
 

Haya safari zimeiva, wanao baki bakini wanao enda ndio hao...

Kila MTU ana pambana kimya kimya hii ndio Tanzania aiseeee hahahahahaha
 
Tushee na wadogo zetu wasio na uwezo wakujisomesha bachelor/au ambao hajapata mkopo wa elimu.. hizi ni scholarship kwa developing countries...


Interested in Becoming a WMI Scholar?
Our Ideal Candidate – A student, male or female, from a country in the developing world who:

Successfully completed a secondary education, with good to excellent grades
Is 35 or under on March 1, 2022
Will be studying in his or her country or another country in the developing world*
Is pursuing his or her first bachelor’s degree or diploma
Will be enrolled in a program of study that will benefit the community and/or contribute to the continued growth and advancement of his or her home country
Plans to live and work in his or her own country after graduation
Has demonstrated his or her commitment to giving back and has volunteered prior to applying
May have some other funds available for his or her education, but will not be able to go to pursue his or her tertiary degree without financial assistance
 
Back
Top Bottom