chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,207
- 311
Hii ndio jamii intelligence
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenichekesha sana eti! kwa wale ambao ni usiku sasa.Wakuu,nilikuwa napanda kitandani kulala nikakumbuka kuwa mwaka 2014 niliwahi kuweka uzi hapa kuhusiana na kifo cha JFK na Lincoln....
Ina vitu ambavyo mnaweza kusoma mkaongeza maarifa na kutafiti zaidi...
Pitieni hapa: Nani aliyepanga haya mauaji ya hawa Marais Abraham Lincoln na John Kennedy?
Nimeukumbuka huu uzi kwasababu mtoa mada amegusia kuhusu kifo au mauwaji ya JFK na humi nimeandika kuonesha aliuawa kabisa na hawa watu....
Pitieni hapo wakuu,tuombe uzima tukutane kesho...
Mlale salama kwa wale ambao ni usiku sasa..
Pe kidogo kuhusu pinderUmepapasa tu kuhusu ukweli wa dunia na anayeiendesha....
Endelea kujifunza na utajua hao Skull and Bones ni sisimizi tu,hata Freemason na Illuminati ni sisimizi tu...
Jifunze kuhusu Pindar utapata mwanga kidogo....
Nlikuwa napenda nizae na mzungu but kuanzia sasa nazaa na mwanamke mweusi na ntazaa watoto wengi niongeze jamii org ya Mungu maana vita hapa ni kuzaa waafrika kama mm mwenye kiplipli tuwe wengi du.ila kama hawatupendi. Bas tunanguvu kubwa ndomaana wanafanya mambo kwa siri wakijua yakijulikana tutawashinda.thanx GOD im black!!!Eiyer,nilikua sjawai kupitia maandiko yako ila leo ume thibitisha mengi,..big up sana,..mi pia nafaham haya mambo ingawa sio level yako,..especialy naunga mkono hapo kwenye true Human beings ambao ndo kiumbe halisi cha Mungu ni kwel ni black race,na hawa wenzetu ni mixer kat ya fallen angels na wanadam.ndo chimbuko la rang nyeupe,..ndomana chuki ya mzungu au mweupe kwa mweus maisha yote ni kubwa,kutufanya slaves etc,lengo ni kuiondoa kabsa ulimwenguni,..pia kwenye hili la underground domes ni kweli,hivi viumbe kwel vipo,na ndo chanzo cha technolojia kubwa kubwa zoote na kuna ulimwengu ambao hatuuoni ila wao wako ahead of time,na ndomana kuna dhana ile ya TIME TRAVEL..n machines etc,ni kwel,hawa viumbe ni IMMORTAL,hawafi,wako kitambo sana na ndo hao wanaandika historia za dunia kwamfano vitab vya din,n wanatengeneza events za kutumiza maandiko hayo,mfano MPANGO WA KUFAKE MWISHO WA DUNIA,watatengeneza mazingira hayo,had malaika had Yesu ambae ata perfom miujiza etc,..kuna kitu kinaitwa HUMAN CLONES,..yan unatengenezwa mtu exactly kama wew mwenyew ila mwenye agenda yao af wew orijino unauwawa,hii ina apply kwa viongoz sana sana,..pia kuna projects ziko kwenye series znafanywa na hawa jamaa,mfano za technolojia,kuandaa viongozi etc, pia mfaham kila kitu kinachohappen ulimwengun hapa kiko kwenye ubao,yan ni planned,kwa ufupi ni haya tuu ila yapo mengi na yakutisha,..kuanzia HIV,HAARP,GAYSM etc..kwenye genetic engeneering ndo kunatisha,watu wanatengeza pests,bacteria,wadudu for specific purposes,nyi mnaona mbu hawaish tuu,..na ngoz nyeus dunian imebak sehem ndogo sana,yan ni kusin mwa jangwa la sahara ndo tumebak,sasa na huu ukimwi wa kupewa,malaria,tb,ebola etc plus njaa na vita vya wenyew,soon lengo lao litatimia
Ha ha ha........[emoji1]Nlikuwa napenda nizae na mzungu but kuanzia sasa nazaa na mwanamke mweusi na ntazaa watoto wengi niongeze jamii org ya Mungu maana vita hapa ni kuzaa waafrika kama mm mwenye kiplipli tuwe wengi du.ila kama hawatupendi. Bas tunanguvu kubwa ndomaana wanafanya mambo kwa siri wakijua yakijulikana tutawashinda.thanx GOD im black!!!
Kumbe hadithi ya arijun ek oddha ni ya kweli,. Duuh!!.Mkuu Eiyer naona umewaacha wengi kwenye mataa kuhusu Pindar. Kifupi tu, Pindar ni kiongozi mkuu wa Illuminati hapa duniani. Kiongozi huyu anatoka katika familia 13 ambazo ndio waanzilishi wa Illumianti kwa sasa hivi inasadikika kuwa anatokea kwenye familia ya Rothschild. Pindar ni kifupi cha Pinnacle of the Draco, vile vile ikifahamika kama Penis of the Dragon. Kiongozi huyu ndio nguvu ya juu kabisa hapa duniani anayetawala (control) anayehakikisha kupanuka,na kuratibu mashambulizi ya ki-Illuminati na kutia hofu uma. Hizi familia 13 ni familia zenye nguvu ya kifedha na ushawishi mkubwa kwa serikali zote za dunia hii. Asili ya hizi familia si ya kawaida kwani wana vinasaba (DNA) za nyoka (Reptilian DNA)
Yesu alikua mweusi..!? kama umeniacha kidogo hapa mkuu, tafadhali ebu nipe mwanga kidogo juu ya hiliHawa watu hawawapendi sana watu weusi na hii ni kwasababu hata Yesu alikuwa mweusi,kuna mengi kwenye hili na tuliache kwa sasa...
Lakini wapo kwenye vyama hivi ila hawapo kwenye maeneo muhimu sana....
Nimesema Yesu alikuwa mweusi,sasa mkuu nimeakuacha namna gani?Yesu alikua mweusi..!? kama umeniacha kidogo hapa mkuu, tafadhali ebu nipe mwanga kidogo juu ya hili
Soma mada....T
Pe kidogo kuhusu pinder
Mkuu kunawatu tupo nao tofauti kwakuwa wapo nchi na mabara mengine....Umenichekesha sana eti! kwa wale ambao ni usiku sasa.
Soma uzi huu nimeeleza hili....Tupe hiyo habari ya Pindar tupate mwangaza!
Kupinga ni rahisi sana lakini kuelezea ni kwanini unapinga ni jambo gumu kwawengi...Hapa naona umezidi mkuu, pamoja na watu kukusifu kwa uelewa wako wa haya mambo ila hapa hapana, siamini kabisa
Bahati mbaya chati zote nilizonazo zinaonekana hivyo kwenye PC,nitatafuta ambayo itakuwa inaonekana vyema mkuu na nitaiweka hapa....Naomba uitume tena mkuu hiyo chat sababu haisomeki vizuri tafadhali