CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
-
- #41
Good, Crde karibu sana hapa tuchakate mada,Madeni mpaka China na USA wanadaiwa. Hawapati madeni kwa nia ya kujifurahisha tu ni katika kutimizamalengo ya muda mfupi na mrefu.
Watu gani mkuu wangu,Naona watu wamejipanga kweli kweli kwenye hili
Siasa ni hatari sana
Mama ni taasisi chief, Sio mtu mmoja elewaMama ametoa,mama ametoa.
Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Kwa Mungu wa Mbinguni,Kwa nani?
View attachment 2003976
Mungu akubariki acha hofu mwamini Mungu tutafika salama 2030,
Bila Katiba Mpya na Tume HURU hakuna Mtanzania mwenye kujielewa atakaemuombea Samia labda kinafiki.Mungu akubariki acha hofu mwamini Mungu tutafika salama 2030,
Kazi zake zinamtambulisha bayana kuwa yeye ameletwa kutusaidia na wewe ni shahidi wa wewe mwenyewe
Kila siku nazidi kumpenda Rais wangu,Rais Samia Suluhu Hassan kimyakimya analipa madeni mbalimbali aliyoyakuta na kwa kuanza kwa mwaka huu pekee analipa madeni yenye Jumla ya TZS11.17623Trilioni,Mnapoambiwa Rais Samia huyu ni levels zingine muelewe na mumuombee mzigo huu ni mzito sana mabegani mwake na unahitaji neema ya Mungu,
1 . Mama ametoa TZS 111.41BL ili kuwalipa watumishi wa Serikali wanaoidai Serikali,malipo haya yataongeza ari na nguvu za watumishi hawa katika kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuwatumikia Watanzania ambao ndio waajiri wao,
2. Mama ametoa Jumla ya fedha TZS 264.23BL kwaajili ya kuwalipa wakandarasi mbalimbali wa nje na ndani waliokuwa wanaidai Serikali ili kuongeza imani na uaminifu kwao katika kuendelea kutoa huduma kwa Serikali yetu ya JMT,
3. Mama ametoa Jumla ya fedha TZS 70.49BL kwaajili ya kuwalipa Wazabuni mbalimbali waliotoa bidhaa na huduma kwa Serikal,wote mtakumbuka Wazabuni wengi walikuwa wanalalamika kudaiwa mikopo benki naamini wamefuraha sasa na Wataendelea kutekeleza ilani ya CCM ya 2020-2025 bila kinyongo,
4. Mama ametoa TZS 2.17BL ili kuwalipa watoa huduma mbalimbali waliokuwa wanaidai Serikali kutoka katika Wizara mbalimbali,Hakika mama huyu anajicho la pekee kama hujaelewa unakwenda wapi na Rais Samia basi ni wazi wewe utakuwa hujui unakotaka kwenda,
5. Mama ametoa Jumla ya fedha TZS 67.93BL kwaajili ya hukumu na fidia mbalimbali ambazo Serikali inadaiwa baada ya kushindwa kesi mbalimbali ili kutengeneza imani kwa wawekezaji wa ndani na nje pamoja na watu binafsi,
6. Mama ametoa jumla ya fedha TZS 10.66Trilioni ili kulipia deni la Serikali pamoja na mikopo mingine hakika mzigo ni mkubwa ila kwa uwezo wa Manani kupitia Rais Samia tutafika tena kwa kuwahi,
View attachment 2003891
Hata wewe hutamwombea?Bila Katiba Mpya na Tume HURU hakuna Mtanzania mwenye kujielewa atakaemuombea Samia labda kinafiki.
Mbona Chadema hatulipwi sibora buku saba sasaHivi dau ni lile lile buku saba au wameongeza kidogo?!
Kwa nchi ambayo watu wake bado masikini kama sisi ni muhimu sana kuogopa, na haswa pale tunapoona baadhi ya watendaji hawaoni huruma na kuzidi kufuja fedha za umma!!!Unayohoja hoja mkuu ila usiogope deni ni stahimilivu kwa kipindi kifupi, chakati na kirefu hii ni kimataifa so relax nchi iko salama sana,
ππ Endelea kumpigania mama hivyohivyo atatutoa kwenye tope lazima tuendelee kumtia moyoKila siku nazidi kumpenda Rais wangu,
Wakandarasi walikuwa wanalalamika sana,
Wazabuni nao walikuwa waishaichukia serikali,
Mimi ni CHADEMA ila mama ananikosha sana niko nae mpaka 2030 .
Umeongea kitu cha msingi sana aise,Kwa nchi ambayo watu wake bado masikini kama sisi ni muhimu sana kuogopa, na haswa pale tunapoona baadhi ya watendaji hawaoni huruma na kuzidi kufuja fedha za umma!!!
inapaswa watendaji wote wa Serikali waishi kulingana na uwezo wetu, wasitake kuishi kama vile nchi yetu ipo uchumi wa juuu!!
ππ kumbe anazitamani buku 7,Mbona Chadema hatulipwi sibora buku saba sasa
Mkuu katiba mama hajawahi kuikataa,Bila Katiba Mpya na Tume HURU hakuna Mtanzania mwenye kujielewa atakaemuombea Samia labda kinafiki.
We CHAWA weka namba ya ya simu tutakuteua kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa CHATO.Rais Samia Suluhu Hassan kimyakimya analipa madeni mbalimbali aliyoyakuta na kwa kuanza kwa mwaka huu pekee analipa madeni yenye Jumla ya TZS11.17623Trilioni,Mnapoambiwa Rais Samia huyu ni levels zingine muelewe na mumuombee mzigo huu ni mzito sana mabegani mwake na unahitaji neema ya Mungu,
1 . Mama ametoa TZS 111.41BL ili kuwalipa watumishi wa Serikali wanaoidai Serikali,malipo haya yataongeza ari na nguvu za watumishi hawa katika kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuwatumikia Watanzania ambao ndio waajiri wao,
2. Mama ametoa Jumla ya fedha TZS 264.23BL kwaajili ya kuwalipa wakandarasi mbalimbali wa nje na ndani waliokuwa wanaidai Serikali ili kuongeza imani na uaminifu kwao katika kuendelea kutoa huduma kwa Serikali yetu ya JMT,
3. Mama ametoa Jumla ya fedha TZS 70.49BL kwaajili ya kuwalipa Wazabuni mbalimbali waliotoa bidhaa na huduma kwa Serikal,wote mtakumbuka Wazabuni wengi walikuwa wanalalamika kudaiwa mikopo benki naamini wamefuraha sasa na Wataendelea kutekeleza ilani ya CCM ya 2020-2025 bila kinyongo,
4. Mama ametoa TZS 2.17BL ili kuwalipa watoa huduma mbalimbali waliokuwa wanaidai Serikali kutoka katika Wizara mbalimbali,Hakika mama huyu anajicho la pekee kama hujaelewa unakwenda wapi na Rais Samia basi ni wazi wewe utakuwa hujui unakotaka kwenda,
5. Mama ametoa Jumla ya fedha TZS 67.93BL kwaajili ya hukumu na fidia mbalimbali ambazo Serikali inadaiwa baada ya kushindwa kesi mbalimbali ili kutengeneza imani kwa wawekezaji wa ndani na nje pamoja na watu binafsi,
6. Mama ametoa jumla ya fedha TZS 10.66Trilioni ili kulipia deni la Serikali pamoja na mikopo mingine hakika mzigo ni mkubwa ila kwa uwezo wa Manani kupitia Rais Samia tutafika tena kwa kuwahi,
View attachment 2003891
WATOTO WA UJERUMANI HAWA SIJUI WATAACHA LINI ILI TUKAJEGE UKUTA KWENYE HIFATHI ZA WANYAMA PAMOJA NA KUWEKA SCHEMU ZA UMWAGILIAJIRais Samia Suluhu Hassan kimyakimya analipa madeni mbalimbali aliyoyakuta na kwa kuanza kwa mwaka huu pekee analipa madeni yenye Jumla ya TZS11.17623Trilioni,Mnapoambiwa Rais Samia huyu ni levels zingine muelewe na mumuombee mzigo huu ni mzito sana mabegani mwake na unahitaji neema ya Mungu,
1 . Mama ametoa TZS 111.41BL ili kuwalipa watumishi wa Serikali wanaoidai Serikali,malipo haya yataongeza ari na nguvu za watumishi hawa katika kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuwatumikia Watanzania ambao ndio waajiri wao,
2. Mama ametoa Jumla ya fedha TZS 264.23BL kwaajili ya kuwalipa wakandarasi mbalimbali wa nje na ndani waliokuwa wanaidai Serikali ili kuongeza imani na uaminifu kwao katika kuendelea kutoa huduma kwa Serikali yetu ya JMT,
3. Mama ametoa Jumla ya fedha TZS 70.49BL kwaajili ya kuwalipa Wazabuni mbalimbali waliotoa bidhaa na huduma kwa Serikal,wote mtakumbuka Wazabuni wengi walikuwa wanalalamika kudaiwa mikopo benki naamini wamefuraha sasa na Wataendelea kutekeleza ilani ya CCM ya 2020-2025 bila kinyongo,
4. Mama ametoa TZS 2.17BL ili kuwalipa watoa huduma mbalimbali waliokuwa wanaidai Serikali kutoka katika Wizara mbalimbali,Hakika mama huyu anajicho la pekee kama hujaelewa unakwenda wapi na Rais Samia basi ni wazi wewe utakuwa hujui unakotaka kwenda,
5. Mama ametoa Jumla ya fedha TZS 67.93BL kwaajili ya hukumu na fidia mbalimbali ambazo Serikali inadaiwa baada ya kushindwa kesi mbalimbali ili kutengeneza imani kwa wawekezaji wa ndani na nje pamoja na watu binafsi,
6. Mama ametoa jumla ya fedha TZS 10.66Trilioni ili kulipia deni la Serikali pamoja na mikopo mingine hakika mzigo ni mkubwa ila kwa uwezo wa Manani kupitia Rais Samia tutafika tena kwa kuwahi,
View attachment 2003891
Wewe tayari?We CHAWA weka namba ya ya simu tutakuteua kuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa CHATO.