Natafuta kiki
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 911
- 1,294
Una fikra kama zanguNinafikiri huyu ni Samia mwenyewe anajipigia promo..maana post zake ni kujikweza tuuu mwanzo mwisho.
Fanya kazi mama, ni wajibu wako. Huna sababu ya kujinadi kiasi hicho.
Kibaya kinajitembeza ila kizuri siku zote hujiuza.
Huyu jamaa ni either samia mwenyewe au msaidizi wake wa karibu huwa anamtuma aje alete uharo wake humu