CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
- #101
But akili za kizee sanaMimi sio mzee au mtaka vya mteremko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
But akili za kizee sanaMimi sio mzee au mtaka vya mteremko.
Watakuja wote chama kimeshakufa
But akili za kizee sana
Akili zako sio za CCM hahahaha CHADEMA shida tupu,Ni kweli kabisa, ndio maana sikitaki kabisa hicho chama cha majizi ya kura.
Upo kama msukule vile hongeraHayo ndio matamanio yako cdm ife. Kwa bahati mbaya sana ccm sio chama cha kizazi hiki, hivyo hizo nguvu za dola haziwezi kuibeba ccm, wala kuiua cdm kwani kwetu cdm ni imani. Nadhani unazidi kuona jinsi wananchi wanavyopungua kwenye box la kura, baada ya kuona ccm wanalazimisha kukaa madarakani kwa shuruti bila ridhaa yao. Huo ni ushahidi kuwa ccm sio chama cha kizazi hiki.
Nyie mnajiona sisi wengine sio watanzania wala hatuna haki ya kuhoji lolote. Sawa Mimi ni gaidi na were ni mtakatifuWewe Chadema na ugaidi wako unasumbua sana aise,
Basi msisifie ujinga maana si analipa aliipokopa? Hizi kelele za nini?Madeni yanaletwa na chama chochote makini. Kama hudaiwi maana yake wewe huna majukumu na hufai kuaminiwa.
Sijawahi kutamkaIna maana wapinzania wakishika nchi hawatakopa .?
Analipa madeni kisha amekopa 1.3t! Uza ubongo huo bro. Hiyo 1Ot aliyotoa kamlipa nani na kaitoa wapi? Kama makusanyo kwa mwaka mwaka ni 23t, na matumizi ni 20t+, hiyo 10t kaitoa wapi wakati hana hata mwaka madarakani? Hivi umetuonaje mpigaji propaganda mfu?
Upo kama msukule vile hongera
Mama ametoa,mama ametoa.
Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Watanzania acheni kufanya wenzenu wajinga, ametoa kutoka wapi wakati ni kodi na hiyo mikopo tutalipa wenywe? wananchi tunakatwa kodi kubwa, kuna tozo kama zote kwenye simu, tozo kwenye kununua luku, achilia mbali zile za kimya kimya kwenye manunuzi ya petrol na VAT.Rais Samia Suluhu Hassan kimyakimya anaendelea kulipa madeni mbalimbali kwa watu binafsi au taasisi na kwakuanzia tu mwaka huu pekee analipa madeni yenye thamani ya Jumla ya fedha TZS11.17623Trilioni.
Watanzania mnapoambiwa Rais Samia ni levels zingine muelewe tu na mumuombee mzigo huu mabegani mwake ni mzito sana na unahitaji neema ya Mungu kuufikisha, Angalia hii
1 . Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 111.41BL ili kuwalipa watumishi wa Serikali wanaoidai Serikali,malipo haya yataongeza ari na nguvu zaidi kwa watumishi hawa katika kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuwatumikia Watanzania ambao ndio waajiri wao, Je! hili si jambo jema?
2. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 264.23BL kwaajili ya kuwalipa wakandarasi wetu mbalimbali wa nje na ndani waliokuwa wanaidai Serikali ili kuongeza imani na uaminifu kwao katika kuendelea kutoa huduma kwa Serikali yetu ya JMT, Je! hili si jambo jema?
3. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 70.49BL kwaajili ya kuwalipa Wazabuni mbalimbali waliotoa bidhaa na huduma kwa Serikal,wote mtakumbuka Wazabuni wengi walikuwa wanalalamika kudaiwa mikopo benki naamini wamefuraha sasa na Wataendelea kutekeleza ilani ya CCM ya 2020-2025 bila kinyongo, Je! hili si jambo jema?
4. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 2.17BL ili kuwalipa watoa huduma mbalimbali waliokuwa wanaidai Serikali kutoka katika Wizara mbalimbali,Hakika mama huyu anajicho la pekee kama hujaelewa unakwenda wapi na Rais Samia basi ni wazi wewe utakuwa hujui unakotaka kwenda-Je! hili si jambo jema?
5. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 67.93BL kwaajili ya hukumu na fidia mbalimbali ambazo Serikali inadaiwa baada ya kushindwa kesi mbalimbali ili kutengeneza imani kwa wawekezaji wa ndani na nje pamoja na watu binafsi,Je! hili si jambo jema?
6. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 10.66Trilioni ili kulipia deni la Serikali pamoja na mikopo mingine hakika mzigo ni mkubwa ila kwa uwezo wa Manani kupitia Rais Samia tutafika tena kwa kuwahi, Je! hili si jambo jema?
![]()
Urais ni taasisi mjomba mbona wagumu kuelewa nyie khaaaWatanzania acheni kufanya wenzenu wajinga, ametoa kutoka wapi wakati ni kodi na hiyo mikopo tutalipa wenywe? wananchi tunakatwa kodi kubwa, kuna tozo kama zote kwenye simu, tozo kwenye kununua luku, achilia mbali zile za kimya kimya kwenye manunuzi ya petrol na VAT.
Wanapata shida sana watu wa akili za chiniMataga mjingawewe umefura kwa hasira
Unazijua propaganda wewe?!Kabisa, tena msukule uliogoma propaganda mfu.
Unazijua propaganda wewe?!
Yaap mama,Rais Samia Suluhu Hassan kimyakimya anaendelea kulipa madeni mbalimbali kwa watu binafsi au taasisi na kwakuanzia tu mwaka huu pekee analipa madeni yenye thamani ya Jumla ya fedha TZS11.17623Trilioni.
Watanzania mnapoambiwa Rais Samia ni levels zingine muelewe tu na mumuombee mzigo huu mabegani mwake ni mzito sana na unahitaji neema ya Mungu kuufikisha, Angalia hii
1 . Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 111.41BL ili kuwalipa watumishi wa Serikali wanaoidai Serikali,malipo haya yataongeza ari na nguvu zaidi kwa watumishi hawa katika kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuwatumikia Watanzania ambao ndio waajiri wao, Je! hili si jambo jema?
2. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 264.23BL kwaajili ya kuwalipa wakandarasi wetu mbalimbali wa nje na ndani waliokuwa wanaidai Serikali ili kuongeza imani na uaminifu kwao katika kuendelea kutoa huduma kwa Serikali yetu ya JMT, Je! hili si jambo jema?
3. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 70.49BL kwaajili ya kuwalipa Wazabuni mbalimbali waliotoa bidhaa na huduma kwa Serikal,wote mtakumbuka Wazabuni wengi walikuwa wanalalamika kudaiwa mikopo benki naamini wamefuraha sasa na Wataendelea kutekeleza ilani ya CCM ya 2020-2025 bila kinyongo, Je! hili si jambo jema?
4. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 2.17BL ili kuwalipa watoa huduma mbalimbali waliokuwa wanaidai Serikali kutoka katika Wizara mbalimbali,Hakika mama huyu anajicho la pekee kama hujaelewa unakwenda wapi na Rais Samia basi ni wazi wewe utakuwa hujui unakotaka kwenda-Je! hili si jambo jema?
5. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 67.93BL kwaajili ya hukumu na fidia mbalimbali ambazo Serikali inadaiwa baada ya kushindwa kesi mbalimbali ili kutengeneza imani kwa wawekezaji wa ndani na nje pamoja na watu binafsi,Je! hili si jambo jema?
6. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 10.66Trilioni ili kulipia deni la Serikali pamoja na mikopo mingine hakika mzigo ni mkubwa ila kwa uwezo wa Manani kupitia Rais Samia tutafika tena kwa kuwahi, Je! hili si jambo jema?
![]()
Mama hongera sana,Rais Samia Suluhu Hassan kimyakimya anaendelea kulipa madeni mbalimbali kwa watu binafsi au taasisi na kwakuanzia tu mwaka huu pekee analipa madeni yenye thamani ya Jumla ya fedha TZS11.17623Trilioni.
Watanzania mnapoambiwa Rais Samia ni levels zingine muelewe tu na mumuombee mzigo huu mabegani mwake ni mzito sana na unahitaji neema ya Mungu kuufikisha, Angalia hii
1 . Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 111.41BL ili kuwalipa watumishi wa Serikali wanaoidai Serikali,malipo haya yataongeza ari na nguvu zaidi kwa watumishi hawa katika kufanya kazi kwa bidii na maarifa ili kuwatumikia Watanzania ambao ndio waajiri wao, Je! hili si jambo jema?
2. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 264.23BL kwaajili ya kuwalipa wakandarasi wetu mbalimbali wa nje na ndani waliokuwa wanaidai Serikali ili kuongeza imani na uaminifu kwao katika kuendelea kutoa huduma kwa Serikali yetu ya JMT, Je! hili si jambo jema?
3. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 70.49BL kwaajili ya kuwalipa Wazabuni mbalimbali waliotoa bidhaa na huduma kwa Serikal,wote mtakumbuka Wazabuni wengi walikuwa wanalalamika kudaiwa mikopo benki naamini wamefuraha sasa na Wataendelea kutekeleza ilani ya CCM ya 2020-2025 bila kinyongo, Je! hili si jambo jema?
4. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 2.17BL ili kuwalipa watoa huduma mbalimbali waliokuwa wanaidai Serikali kutoka katika Wizara mbalimbali,Hakika mama huyu anajicho la pekee kama hujaelewa unakwenda wapi na Rais Samia basi ni wazi wewe utakuwa hujui unakotaka kwenda-Je! hili si jambo jema?
5. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 67.93BL kwaajili ya hukumu na fidia mbalimbali ambazo Serikali inadaiwa baada ya kushindwa kesi mbalimbali ili kutengeneza imani kwa wawekezaji wa ndani na nje pamoja na watu binafsi,Je! hili si jambo jema?
6. Mama ametoa Jumla ya fedha kiasi cha TZS 10.66Trilioni ili kulipia deni la Serikali pamoja na mikopo mingine hakika mzigo ni mkubwa ila kwa uwezo wa Manani kupitia Rais Samia tutafika tena kwa kuwahi, Je! hili si jambo jema?
![]()
Amka usingizini, ni 2021 hii.Samia mwisho wake ni 2015.
Hayo madeni yameletwa na chama gani? Hata yeye bado ataacha madeni mengi tu, kwa hiyo atakae chukua nchi baada yake na yeye ajisifu, sio? Ama hiyo mikopo atailipa kabla hajaondoka?
Ccm hata wakipewa miaka 1000 ngonjera ni hizi hizi.
Hahaha CHADEMA haoAmka usingizini, ni 2021 hii.