that was very difficult and very wrong plans of his πKeeping constant (ceteris paribus) other things, Gaddafi was a good leader.
But his hidden agenda was to Islamise all Africans. He disliked so much christians.
Huu mwezi wa Ramadhani wanajitahidi kuleta kila nyuzi ..Wagalatia bana, haweshi vituko.
Uislam wa Gaddafi haufikii wa hayati mzee ruksa, Gaddafi alikua bize na kujikwamua kwenye minyororo ya mabeberu wa WB na IMF,alikua na uchumi wake tofauti,alitaka kukata mirija ya mabeberu kuinyonya Africa ambapo Libya isingeathiriwa Tena na vikwazo vya mabeberu,Ila nyie waabudu maajabu huko kwenye visinagogi vyenu mnalishana chuki na unamtazama Gaddafi kwa jicho la dini na kufunga jicho la yakini
Nyerere alimsaidia Obote kwenye nini? Kumpa hifadhi ya ukimbizi?Nimeuliza alimsaidia Obote Kama nani!?..Obote ambaye hata kwenye msiba wa Nyerere hakuja
Hata ukipewa 72Sasa huyo Gaddafi angemwi-islamise nani maana mimi ata uniahidi inanipa nusu ya utajiri wa dubai siwezi kuwa muislamu.
No he was the financer of terrorists groupsKeeping constant (ceteris paribus) other things, Gaddafi was a good leader.
But his hidden agenda was to Islamise all Africans. He disliked so much christians.
π€ππ€Walifanya uamuzi sahihi.
π€£π€£π€£Yaani hutaki mabikira 72.
π€£π€£π€£Na bado kuna offer za watoto wazuri 72 kuna mito ya pombe lakini pamoja na hayo yote siko tayari nitoke nuruni niende kwenye giza totoro.
Mkuu wewe kwa jicho la tatu unauonaje huo utabiri?? Unafanikiwa? Rejea reaction ya nchi za ulaya dhidi ya ueneaji wa kasi wa uislam ulaya!Gadafi alikuwa na matatizo makubwa. Alikuwa na falsafa za ajabu, akiwahamasisha waislam kuwa wazaliane sana eti huko mbeleni kutakuwa na vita kati ya Wakristo na Waislam, na hivyo waislam wazaliane sana ili kushinda hiyo vita.
Nchini mwake, kila familia iliyozaa watoto zaidi ya wanne, kila mtoto baada ya hao wanne wa mwanzo, kulikuwa na zawadi toka Serikalini. Aliamini kuwa siku moja Ulaya nzima na America zitakaliwa na kutawaliwa na waislam.
Ukweli ni upi?Uwongooo... Vita gani hiyo. Uwongo bwana.
Mkuu usitie watu hofu! Tuambie ni waislamu wangapi wameuhama uislamu hapa nchi na kwingine Afrika ambao wamekatwa vichwa???Njia pekee ya mkristo kukubali kuwa muislamu ni kutoujua uislamu ukoje kindani ndani.
Hakuna mkristo atakaekubali kuwa muislam kama akijua ukweli kwamba uislamu unasema atakayehama uislamu akatwe kichwa.
Sheikh Mazinde alikuwa anahubiri mambo yake ya kukashif Wakristu anawambia Waislam wenzake Sinagogi ni Msikiti...halafu anawadaganya wenzake Yesu aliingia kwenye Sinagogi na sinagogi ni Msikiti hivyo Yesu alikuwa Mwislam.visinagogi
πππ‘οΈUislam wa Gaddafi haufikii wa hayati mzee ruksa, Gaddafi alikua bize na kujikwamua kwenye minyororo ya mabeberu wa WB na IMF,alikua na uchumi wake tofauti,alitaka kukata mirija ya mabeberu kuinyonya Africa ambapo Libya isingeathiriwa Tena na vikwazo vya mabeberu,Ila nyie waabudu maajabu huko kwenye visinagogi vyenu mnalishana chuki na unamtazama Gaddafi kwa jicho la dini na kufunga jicho la yakini
Anayesema ukibadili Dini ukiwa Muislam hukatwi kichwa ni wewe ama Quran?.Mkuu usitie watu hofu! Tuambie ni waislamu wangapi wameuhama uislamu hapa nchi na kwingine Afrika ambao wamekatwa vichwa???
Kwani biblia haina vifungu vya kupiga watu kwa mawe hadi wafe???
Je kwenye ukristo wanaokiuka vifungu hivyo wanauwawa kwa mawe???
Mkuu usitie watu hofu! Tuambie ni waislamu wangapi wameuhama uislamu hapa nchi na kwingine Afrika ambao wamekatwa vichwa???
Kwani biblia haina vifungu vya kupiga watu kwa mawe hadi wafe???
Je kwenye ukristo wanaokiuka vifungu hivyo wanauwawa kwa mawe???
Aliwahi kuwa kiongozi wakoKeeping constant (ceteris paribus) other things, Gaddafi was a good leader.
But his hidden agenda was to Islamise all Africans. He disliked so much christians.