Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 2,250
- 3,607
- Thread starter
- #181
Kama hujawahi pigia picha hapa we mwanaume 😄 kila form one lazima Wapitie hapa kupandapanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hujawahi pigia picha hapa we mwanaume 😄 kila form one lazima Wapitie hapa kupandapanda
Nilipita pale Mwaka 47 Mkuu 🤗mzee na wewe ni wa iyunga ?
Enzi hizo yale mabwawa ya kuogelea yakiwa yanatumika ku-swim kama kawaida 😜
mlifaidi sana aisee!!Enzi hizo yale mabwawa ya kuogelea yakiwa yanatumika ku-swim kama kawaida 😜
hakika,ni shule bora sanaUnaijua hiyo? Shule bora sana hiyo.
Tafuta tafsiri halisi ya Seminary, tahadhari, usitumie kamusi ya BAKITANa sisi wa private tuweke zetu. Ahlulbayt islamic center. Hapo ni Ahlulbayt islamic seminary kigoma huko kwa waha
View attachment 3047366
Mara mia 4 huku kuliko dom 8 mkuu 😆
Hahaha, lile lilikuwa ni la kibabe sana.Mara mia 4 huku kuliko dom 8 mkuu 😆
Iyunga moja hiyoLevavi oculos 🦎
Proud of being a BIG NATION
au The Way to University. Kwamba ukishuka Mbalamaziwa tu tayari una div 2, ukifika Malangali div 1 unayo tayari😀😀Tulizoea kupaita SHAMBA LA ONE
Umesahau "Ukianza kusoma, unatafuta One ya ngapi!"🤣🤣🤣🤣 Teacher My Dear, Teacher Nyudike.au The Way to University. Kwamba ukishuka Mbalamaziwa tu tayari una div 2, ukifika Malangali div 1 unayo tayari😀😀
"Never give in"