Pre GE2025 Gambo: Mimi sio Mfanyakazi wa Serikali ni Mbunge, Makonda anahitaji kuelimishwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Makonda analitaka jimbo la.arusha kashaanza fitina kama kawaida yake. Kigamboni.wanamuachia.mwijaku
 
Malalamiko ya Makonda ni Gambo kutokuhudhuria vikao vya maendeleo Mkoa wa Arusha. Katika majibu yake Gambo kwanini ameweka mkazo zaidi kwenye mahudhurio ya vikao vya Bunge ambayo Makonda hakuyahoji?
 
Gambo aende kwenye vikao kufanya nini? Ndiko anawajobika? Vikao vyake ni vya Bunge na sio vya Watendaji.

Mjinga ni Bashite
Mbunge ni mjumbe wa vikao fulani ndani ya mkoa wake. Hivyo ndivyo vikao ambavyo Gambo anadaiwa kutokuhudhuria!
 
Mbunge ni mjumbe wa vikao fulani ndani ya mkoa wake. Hivyo ndivyo vikao ambavyo Gambo anadaiwa kutokuhudhuria!
Halazimishwi kuhudhuria maana ni vikao vya Watendaji kutoa mrejesho.

Makonda na watu wake watatue shida za watu na sio kumkataza Mbunge kubainisha Changamoto za Wananchi.
 
Halazimishwi kuhudhuria maana ni vikao vya Watendaji kutoa mrejesho.

Makonda na watu wake watatue shida za watu na sio kumkataza Mbunge kubainisha Changamoto za Wananchi.
Kumbuka, mbunge kwa nafasi yake pia ni mjumbe wa Baraza la madiwani. Mbunge mwenye nia ya kutatua shida za wapigakura wake hakosi kuhudhuria vikao ambavyo yeye ni mmoja wa mjumbe wake, bila sababu ya msingi.
 
Kumbuka, mbunge kwa nafasi yake pia ni mjumbe wa Baraza la madiwani. Mbunge mwenye nia ya kutatua shida za wapigakura wake hakosi kuhudhuria vikao ambavyo yeye ni mmoja wa mjumbe wake, bila sababu ya msingi.
Kuwa mjumbe ndio kunazuia yeye asiongee Changamoto za eneo na Wananchi wake Kwa viongozi?
 
Inaonekana kuna mwingilianp wa madaraka na hili linasababishwa na katiba mbovu,kwani anayetakiwa kumwajibisha mbunge ni nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…