TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

Rip

Pole pia ziende kwa Jay Dee
 
Kumbe ndio ilikua hivi?
 
Wanaume ni wachungu sana wanaposalitiwa. Wanaweza wakaongea lolote
 
Akina nani hao wakuu wataje majina
George Bantu, huyu naye kwa muonekano ni mgonjwa, wanatangaza kipindi kimoja, mwingine simkumbuki, ila alikuwa na kipindi cha mambo ya uswazi, nadhani anaitwa Mussa, wote walevi wa kutupwa.

May be Wasafi wampe angalizo Edo Kumwembe, anaingia kwenye kipindi akiwa mlevi kabisa mpaka sura yake imeshachakaa
 
Na hayo ndio maisha mkuu ,ata ukila mchicha utakufa tu , tusiogope kunywa pombe na nyama ili tusife kama ni kufa tuta kufa tu.
Afadhali tupeane moyo,ngoja nifungue kabia hapa.
Mwenyewe naumwa Figo hapa. sasa usipokunywa sa hii utakunywa mbinguni
Gardner Mwenyewe labda anasikitika huko kwanini aliacha bia zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…