ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
acha ukuda hata ngoma ya mwisho kamuimba yeye thou yahaya ni naibu wazirYahaya Ile ,ilimuhus yee punguzeni kubuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha ukuda hata ngoma ya mwisho kamuimba yeye thou yahaya ni naibu wazirYahaya Ile ,ilimuhus yee punguzeni kubuni
kwa muktadha huo guvu moya leo anaweza kula tena kono la nyani?Naomba nichague Kunyamaza ila niendelee tu kusema kuwa Yanga SC Shikamooni.
Ukifa nani atatupa taarifa jf?She's grown up na ana maisha yake, atakuwa salama tu...
Kifo kipo next door tu hapo, don't be scared, ni hatma ya kila kilicho na mwili ...sweetlove
Dini ni sehemu ya matokeo ya kutokujua kuhusu kifo. Kutokujua kifo ni nini na nini kinafata baada ya kufa ndo tatizo la msingi. Binadamu hajui na hayupo tayari kuamini kuwa kifo ndo mwisho.Ila mkuu dini inamchango mkubwa sana , kujengea watu hofu kubwa mno ya kifo.
Jana umetuambia Owiso wa tajiri wa miaka ya 90 alikuwa classmate wako huyu nae ni classmate wakoR.i.P Classmate....[emoji22]
Baaada ya kifo Ni HukumuMkuu, hii unaithibitisha vipi kwamba mtu akifa anaenda kukutana na watu wengine? Na ni wapi huko?
Samahani lakini..
The 109 years ww2 veteran alikuwa anavuta pakti kadhaa za sigara kila siku!! Na hakufa kwa kansa, Warren buffet is 94 years old na anakunywa 5 cans of coca cola daily, with junk foods hasa sweets and fried chickens.
Maisha ni bahati tu sio uhodari wala kanuni
Ukifa nani atatupa taarifa jf?
Ukishakufa hukumu inafata Ni Moroni au Paradiso kutokana Na lifestyle yako dunianiMkuu, hii unaithibitisha vipi kwamba mtu akifa anaenda kukutana na watu wengine? Na ni wapi huko?
Samahani lakini..
Mimi tena?😂Wewe upo mama...
Na wengine kadhaa ninaofahamia nao nje ya hapa
Usipokunywa pombe kupitiliza haufi kabisa [emoji847]Samahani mkuu, kwani usipokunywa pombe kupitiliza haufi?
Alimuimba kwenye nyimbo zipi?zitaje hapa mkuuKwa Jide kumuimba alikuwa anamsaidia ila bahati mbaya hakumuelewa. Gadna alikuwa ni sikio la kufa na limekufa kweli.
RIP Gadna
Kuishi ni Kristo na kufa ni Faida.Kufa ni kristo, kuishi ni faida..
Jide sasa Mjane rasmi